Category: MCHANGANYIKO
Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya miaka ya 53 ya kifo cha hayati Karume
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameungana na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi katika Dua na Kumbukizi ya Miaka 53 ya kifo cha Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…
Profesa Lipumba atoa ya moyoni kuhusu bajeti
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar Salaam MWENYEKITI wa Chama Wananchi (CUF), Prof. Ibrahimu Lipumba ameshauri ili kuwatendea haki Watanzania hotuba ya Waziri Mkuu kuhusu bajeti ianze kutolewa ufafanuzi wa kwa nini malengo ya mpango wa tatu wa maendeleo hayajafikiwa licha ya…
Tuzo za Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kufanyika Aprili 13,2025
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ambayo inalenga kuendelea kuchochea uandishi wa vitabu, usomaji na kukuza matumizi ya lugha ya…
Serikali yajizatiti kukabiliana na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu
Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejizatiti kukabiliana na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo matumizi ya teknolojia za kisasa ili kulinda uhai wa wananchi na mali zao. Haya yalisemwa na…
Arusha mwenyeji kongamano kubwa la Usalama Mtandaoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI vitisho vya kimtandao vinaendelea kutajwa kuongezeka duniani, Tanzania inaendelea na juhudi za kulinda miundombinu yake ya kidijitali, kwa kuandaa kwa mara nyingine Kongamano kubwa la Usalama Mtandaoni. Kongamano hilo linalotarajiwa kufanyika kwa…