Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko azindua mkakati wa taifa wa mawasiliano wa nishati safi ya kupikia
๐ Aagiza usiishie kwenye makabati; ukatekelezwa katika ngazi zote za Serikali/Wadau ๐ Atoa wito kwa vyombo vya Habari kuwa mstari wa mbele uhamasishaji wa Nishati Safi ya Kupikia ๐ Asema Ajenda ya Rais Samia imeonesha mafanikio; Matumizi ya Nishati Safi…
Mahakama ya Haki za Binadamu yapata uongozi mpya; Jaji Modibo Sacko Rais Mpya
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu leo imefanya uchaguzi wa viongozi wake wakuu kwa mafanikio makubwa, ambapo Jaji Modibo Sacko kutoka nchini Mali amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Mahakama hiyo. Aidha nafasi…
TAWA kudhibiti Wanyamapori wakali Ikungi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori (TAWA) imesema imeanza kutekeleza mikakati ya kudhibiti makundi ya wanyamapori wakali na waharibifu hususan tembo katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Haya yamebainishwa leo June 2,2025 Bungeni Dodoma na Naibu Waziri wa…
Shinyanga kunufaika na miradi ya REA wauziwa kwa ruzuku mitungi 13000
๐Kila wilaya kunufaika na mitungi ya gesi 3,255 ๐REA yachochea ushiriki wa wanawake katika shughuli za kiuchumi ๐Mradi kupunguza ukataji wa miti unaosababisha mabadiliko ya tabianchi Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Lake Gas Limited ambayo imepewa jukumu…
Ofisi ya Msajili Hazina yaongeza mapato yasiyo ya kodi kwa asilimia 40
Na Tatu Mohamed JamhuriMedia, Dar es Salaam OFISI ya Msajili wa Hazina imerekodi ongezeko la asilimia 40 katika makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi ndani ya kipindi cha miezi 11, ikilinganishwa na kipindi kama hicho katika mwaka wa fedha uliopita….





