Category: MCHANGANYIKO
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emanuel Tutuba ametoa wito kwa Wafanyabiashara na wananchi wanaopata fursa ya mikopo ya serikali waweze kurejesha ili wengine nao waweze kukopa. Wito huo ameutoa leo Januari…
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali: Benki ya NMB iliendeleza kasi ya ukuaji, ikipata matokeo ya kipekee ya kifedha na kiutendaji, yaliyochochewa na…
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Yusuf Masauni amesema Serikali ya Tanzania imechukua hatua za kuimarisha maeneo ya bahari yaliyohifadhiwa. Amesema hatua hizo zimesaidia kukuza usimamizi endelevu wa uvuvi na kuongeza uwezo wa kuzuia…
Biashara saa 24 kuanza Februari 22
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema uzinduzi rasmi wa biashara kwa saa 24 utafanyika Februari 22, 2025 na utaanzia eneo la Ofisini za Mkuu wa Mkoa hadi Kariakoo kuwa…