Category: MCHANGANYIKO
Ussi asisitiza amani na utulivu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ali Ussi, amesisitiza umuhimu wa kuitunza na kuenzi amani, utulivu na upendo miongoni mwa Watanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akizindua bweni la wasichana…
Washindi sita wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ kutalii mbuga ya Serengeti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Benki ya CRDB imewapata washindi sita wa awamu ya kwanza wa kampeni ya ‘Tembo Card Shwaa’ ambao wamejishindia safari ya kutalii mbuga ya Serengeti wakiwa na wenza wao. Kampeni hiyo ilizinduliwa Februari 13, mwaka huu, huku…
Balile : Rais Samia ameimarisha uhuru wa habari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha uhuru wa wanahabari. Pongezi hizo zimetolewa leo Aprili 4, 2025 na Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile wakati wa ufunguzi wa mkutano maalum wa…
Nchimbi : CHADEMA kususia uchaguzi ni haki yako
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea KATIBU Mkuu na Mgombea Mwenza Mteule wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema kitendo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutaka kususia uchaguzi mkuu ni haki yao kisheria. Hayo ameyasemwa leo…
Sanku yadhamiria kumaliza tatizo la udumavu nchini
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. TATIZO la udumavu kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano, wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi katika Mkoa wa Ruvuma linatarajiwa kupungua baada ya Kampuni ya Sanku – Project Healthy Children Tanzania Limited…