JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waliosababisha ajali iliyopelekea kifo cha mwanamke mmoja mbaroni

Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni John Peter (45) dereva na mkazi wa Manyire Wilayani Arumeru Mkoani Arusha na Jafari Shirima (62) dereva na Mkazi wa Singida…

Chalamila akagua miradi ya maendeleo Temeke

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Temeke kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza changamoto za wananchi. Ziara hii imelenga kuhamasisha maendeleo ya kiuchumi…

Serikali yachukua hatua kuongeza upatikanaji wa dhahabu ghafi kwa Geita Gold Refinery (GGR) – Waziri Mavunde

Asema Serikali inajivunia uwepo wa viwanda vya kuongeza thamani madini nchini 📍 Dodoma, Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amesema kuwa, Serikali ya Tanzania inatambua kuwa ili kiwanda cha kusafisha madini ya dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kifanye kazi…

‘Bora kuku wa kisasa kuliko kula nyama ya ng’ombe’

Na Aziza Nangwa ,JamhuriMedia, Dar es Salaam Walaji wa nyama ya ng’ombe na wananchi kwa ujumla wameonywa kuhusu kuwapo kwa wafanyabiashara wanaolihujumu soko la nyama hiyo inayotumiwa kwa wingi nchini. Hujuma hizo hufanywa na baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wanaonenepesha…

India kuwekeza katika sekta ya nishati nchini

*Ni kupitia mazungumzo kati ya Dkt. Biteko na Waziri wa Petroli na GesiAsilia India *Gesi, Nishati Safi ya Kupikia na Bayofueli zatajwa  India yaipongeza Tanzania usambazaji umeme vijijini Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana…

Kesi ya DRC dhidi ya Rwanda kusikilizwa Mahakama ya Haki za Binadamu Arusha

Kesi iliyofunguliwa na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya haki za watu na zile za Binadamu inasikilizwa leo jijini Arusha – huku Kongo ikiishitaki Rwanda kwa kukiuka mipaka ya kimamlaka ya Kongo, kuchochea…