JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yaahidi kuenzi mchango wa hayati Job Ndugai

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa Serikali itaendelea kuenzi na kudumisha mchango mkubwa wa kimaendeleo ulioachwa na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Matukio ya mapokezi mgombea mwenza Zanzibar wa ACT – Wazalendo

Matukio ya Mapokezi ya Mgombea Urais wa Tanzania, Urais wa Zanzibar na Mgombea Mwenza. Oktoba #LindaKura

Viongozi mbalimbali wawasili viwanja Bunge kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa hayati Ndugai

Viongozi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kwaajili ya kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai leo tarehe 10 Agosti 2025 ambapo Mheshimiwa Dkt….

Mwili wa Spika wafikishwa nyumbani kwake Ndegengwa Dodoma

Mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge, Hayati Job Yustino Ndugai, umefikishwa nyumbani kwake Njedengwa Jijini Dodoma kwa ajili ya taratibu za kifamilia jioni leo tarehe 09 Agosti, 2025. Shughuli ya kumuaga Hayati Ndugai itafanyika kitaifa kesho tarehe 10 Agosti, 2025…

Mwenge watua Maswa watembelea miradi 7 ya gharama ya sh.bil. 2.7

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Maswa Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 watua Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu, ambapo utatembelea jumla ya miradi ipatayo 7 itakayogharimu jumla ya sh.bil.2.7, kwa mzungukio wa umbali wa km.147. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya…