JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Naibu Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa avutiwa na mkakati wa Serikali wa utafiti wa madini nchini

▪️Ampongeza Rais Samia kwa kwa maono ya kukuza sekta ya Madini ▪️Avutiwa na aonesha utayari wa kusaidia VISION 2030 ▪️Apongeza mpango wa serikali wa kuongeza thamani madini mkakati nadani ya nchi 📍Dar es salaam Naibu katibu Mkuu wa Umoja wa…

Ubalozi wa India nchini waadhimisha miaka 76 ya Jamhuri kwa Taifa la India

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati ambao Tanzania ipo katika wakati wa kuwa nchi mwenyeji wa mkutano mkuu wa Nishati Afrika ulioanza leo hii jijini Dar es Salaam , Ubalozi wa India nchini umeadhimisha sherehe za 76 za…

Rais Dk Samia ameridhia Mji Kibaha kuupandisha hadhi kuwa Manispaa – Mchengerwa

Na Mwamvua Mwinyi, JahuriMedia, Pwani Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Halmashauri ya Mji wa Kibaha kupandishwa hadhi na kuwa Manispaa. Mchengerwa ameeleza kuwa taratibu za mwisho zinafanywa, na…