JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jiungeni na vifurushi vya NHIF- Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa amewataka wananchi kujiunga na vifurushi vya Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya wakati taratibu za utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote zikikamilika. Ametoa wito…

Katibu Matinda aweka mkakati wa ujenzi wa nyumba ya Katibu Jumuiya ya Wazazi Tarime

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Tarime Katibu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tarime mkoani Mara Raymond John Ole Matinda, amedhamiria kuanzisha mpango wa ujenzi wa nyumba ya katibu wa jumuiya hiyo kwa kushirikiana na Kamati…