JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Baraza la Mawaziri kujiendesha kidijitali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa matumizi ya mfumo wa kielektroniki wa Baraza la Mawaziri utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuleta ufanisi zaidi katika kuwahudumia wananchi. Amesema kuwa maboresho hayo ya matumizi ya mfumo wa kielektroniki…

Wadau wa maendeleo Tanga wakutana kujadili mustakabali wa maendeleo ya Sekta ya Maji

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso na Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa wamefanya kikao kazi cha kimkakati na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi na Wabunge wa Mkoa wa Tanga kwa lengo la kujadili mustakabali wa sekta…

TAKUKURU Mtwara waokoa mil 31/- za viuatilifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Mtwara imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 31 fedha za viuatilifu katika msimu wa kilimo mwaka 2024/2025. Akizungumza jana mkoani Mtwara, Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa…

Naibu Waziri Londo azinadi fursa za kiuchumi nchini Urusi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Dennis Londo amezinadi fursa za mbalimbali za kiuchumi ikiwemo uwekezaji, biashara na utalii nchini Urusi wakati alipokutana kwa mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo…

‘Kukamilika mradi wa umeme Rusumo kunazidi kuimarisha gridi ya Taifa’

*Ni mradi wa megawati 80 unaotekelezwa na Tanzania, Burundi, Rwanda *Kila nchi yafaidika na megawati 26.6  *Kamati yasema mradi utazidi kuimarisha uhusiano mzuri wa Tanzania, Burundi, Rwanda Imeelezwa kuwa, mradi wa kufua umeme unaotokana na maji wa Rusumo, umeanza kuzalisha…