Category: MCHANGANYIKO
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Na Mwandishi Wetu- Madrid, Hispania Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Shirika la Utalii Duniani la Umoja wa Mataifa (UN Tourism) zimesaini mkataba wa makubaliano utakaoifanya Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la Pili la Kikanda la Utalii wa…
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar MIKOPO kwa njia ya kidijitali inayoanza kutolewa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) imeelezwa kuwa itawasaidia wananchi kupata fedha kwa wakati na kuendeleza biashara zao ili kujikwamua Kiuchumi. Wakati hatua hiyo ikianza maafisa…
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wassira, ameiagiza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuhakikisha ardhi ya vijiji iliyoporwa kinyume cha sheria, inarudishwa kwa wananchi. Wasira alitoa maagizo hayo Januari 23, 2025 jijini Dodoma,…
Zaidi ya wanawake 600 kutoka mikoa saba kujengewa uwezo masuala ya uongozi
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wanawake mia sita kutoka mikoa saba wanatarajiwa kujengewa uwezo kuhusu maswala ya uongozi na ushiriki wa wanawake katika kufanya maamuzi . Hayo yamesemwa mkoani Arusha na mwezeshaji kutoka idara ya sayansi ya siasa…
TMA yatoa utabiri wa msimu wa mvua za masika 2025
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za msimu wa Masika Machi hadi Mei 2025 kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam…
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) inaendelea na utekelezaji wa mradi wa maji Mpiji Magoe katika kata ya Mbezi Wilayani Ubungo wenye lengo la kutatua adha ya maji…