JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Macron ashinikizwa kujiuzulu kufuatia mgogoro wa kisiasa

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anakabiliwa na shinikizo kubwa, hata kutoka kwa washirika wake wa karibu, kutafuta suluhisho la haraka kwa mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini mwake. Katika hali ya kushangaza, ร‰douard Philippe, Waziri Mkuu wa kwanza wa Macron, amemtaka…

Mwanza wajipanga kumpokea mgombea urais wa CCM Dk Samia

Maelfu ya wananchi wa Mwanza wamempokea Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, na kumpa salamu zao ya kwamba wamejipanga vema na wapo tayari kumpokea Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป…

Mgombea ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia ACT- Wazalendo Mwanaisha Mndeme afanya kampeni ya mtaa kwa mtaa

Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Wakili Mwanaisha Mndeme, ameendelea na kampeni yake ya mtaa kwa mtaa katika Kata ya Somangila, Kigamboni, leo. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Mndeme amesisitiza umuhimu wa kuchagua…

Tanzania yaweka mikakati ushiriki COP 30

Tanzania imeendelea na Maandalizi kuelekea Mkutano wa 30 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP30) utakaofanyika jijini Belem, Brazil Novemba 10 hadi 21, 2025. Akizungumza katika Mkutano wa Kitaifa wa Kimkakati uliofanyika Dar…

Samia achaneni na wanaotaka kushusha heshima ya Tanzania

Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media, Sengerema Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema wapo Watanzania ambao kila wakiona jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaheshimika duniani kazi yao wao ni kushusha heshima ya nchi…