Category: MCHANGANYIKO
Serikali ombi la DAR – PC, yaongeza muda wa kujisajili kwa waandishi wa habari nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeongeza muda wa kujisali baada ya Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DAR – PC) kuiomba Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari nchini kuongeza muda wa usajili…
Tanzania, Urusi kuimarisha sekta ya nishati
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA SEKTA YA NISHATI 📌 Dkt. Biteko awakaribisha Warusi kuwekeza katika nishati safi ya kupikia 📌 Urusi kuisaidia Tanzania katika afya, usalama mtandao na ulinzi wa miundombinu 📌 Kampuni kubwa ya nishati duniani INTER RAO Export yaonesha…
TBA yatakiwa kuwaelimisha watumishi wa umma kuhusu huduma zake kupitia maonesho ya utumishi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umetakiwa kutumia ipasavyo fursa ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ili kuwaelimisha na kuwafikia kwa karibu watumishi wa umma kuhusu huduma mbalimbali inazotoa, hususan katika sekta ya makazi na ujenzi…





