Category: MCHANGANYIKO
Jamii yatakiwa kupaza sauti kukomesha ukatili wa kijinsia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JAMII imetakiwa kuendelea kupaza sauti kwa pamoja ili kutokomeza ukatili wa kijinsia unaoendelea kushamiri katika maeneo mbalimbali nchini, hususan miongoni mwa watoto, wanawake na makundi mengine yaliyo katika mazingira magumu. Wito huo umetolewa…
Dk Migiro amkaribidha Dk Samia kuzungumzanna wananchi Moshi
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asharose Migiro akimkaribisha Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 kuzungumza na maelfu ya wananchi wa Moshi mkoani Kilimanjaro leo tarehe 1 Oktoba 2025.
Viwango vya udumavu na ukodevu vimepungua nchini – Majaliwa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa kiwango cha udumavu miongoni mwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano nchini kimeshuka kutoka asilimia 48 mwaka 1992 hadi asilimia 30 mwaka 2022. Ameongeza kuwa, kiwango cha ukondefu miongoni mwa watoto walio…
Samia: Nilishuhudia zanahati mbovu inatoa huduma kwa wajawazito
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media-Same Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesimulia namna alivyokwenda Kijiji cha Hedaru wilayani Same ambacho alikuta zahanati mbovu inatoa huduma kwa waja wazito hali iliyomsikitisha. Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia…
Samia atenga bil 1.9/- kununua mitambo kuondoa magugu Mwanga
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia,Mwanga Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameseama serikali imetenga Sh bilioni 1.9 kwa ajili ya ununuzi wa mitambo ya kuondoa magugu maji Ziwa Jipe lililopo wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. Rais Samia…
Dodoma yaingia kwenye ramani ya miji salama kupitia CCTV
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amekagua utekelezaji wa Mradi wa kusimika Kamera za usalama (CCTV) katika jiji la Dodoma, mradi unaogharimu shilingi milioni 473 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Mradi…





