Category: MCHANGANYIKO
INEC yawasihi wazalishaji wa maudhui mtandaoni kusambaza taarifa sahihi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, amewasihi wazalishaji wa maudhui mtandaoni kutumia majukwaa yao kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika kampeni na upigaji kura kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba…
NMB yakutana na wafanyabiashara wakubwa jijini Mwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Benki ya NMB imeendelea kuonesha dhamira ya dhati katika kuwa mshirika imara wa wafanyabiashara nchini, baada ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa 120 wa Mkoa wa Mwanza katika hafla ya chakula cha usiku iliyofanyika Agosti 1,…
Waandaji wa maudhui mtandaoni washauriwa kuzingatia sheria za uchaguzi
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka waandaji wa maudhui mtandaoni kusoma nyaraka mbalimbali na kufuata maelekezo ili ushiriki wao katika mchakato wa uchaguzi uweze kufanyika kwa kuzingatia masharti na matakwa ya sheria…
Majaliwa aiagiza Wizara ya Kilimo kukuza teknolojia za umwagiliaji nchini
NIRC:Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasim Majaliwa, amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Dkt.Gerald Mweli kuhakikisha kuwa Wizara hiyo, kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inashirikiana na sekta nyingine za umma ili kuhimiza matumizi ya teknojia…
Wizara ya Kilimo iziwezeshe taasisi kupata zana za kisasa – Waziri Mkuu
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iweke utaratibu wa kuziwezesha taasisi zinazojihusisha na kilimo kwa kuzipatia zana za kisasa za kilimo ili kukuza sekta hiyo. Amesema kufanya hivyo kutasaidia kwa kiasi kikubwa kuongeza tija katika shughuli za kilimo…
Ubunge ni kazi ya watu – Dk Biteko
Dkt. Doto Mashaka Biteko leo Agosti 3, 2025 amefika kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge wa jimbo la Bukombe ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa wagombea wa udiwani na…





