Category: MCHANGANYIKO
JOWUTA yakutana na Waziri Ridhiwani, Kamishna wa Kazi kujadili changamoto za wanahabari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma VIONGOZI wa Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) wamekutana na Waziri wa Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, pamoja na Kamishna wa Kazi, Suzan Mkangwa, kujadili changamoto zinazowakabili wanahabari nchini,…
Serikali kugharamia mazishi waliofariki ajali ya mgodi wa Nyandolwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Mhe. William Lukuvi, amemfikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, salamu za pole kufuatia ajali ya kufukiwa kwa mafundi katika Mgodi wa…
Dk Biteko ataka watumishi wa Wizara ya Nishati na taasisi zake kuwa mfano matumizi ya nishati safi ya kupikia
๐ Lengo ni kutekeleza Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia kwa vitendo ๐Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yapaa kutoka asilimia 6 hadi 20.3 ๐ Agawa majiko yanayotumia umeme kidogo kwa Watumishi wa Wizara ya Nishati na REA ๐ Apongeza…
DCP Stella afunga mafunzo ya uwekaji alama silaha na utunzaji taarifa
Mkuu wa Kitengo cha kushughulikia Makosa dhidi ya Binadamu, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Stella Mtabihirwa leo Agosti 22, 2025 amefunga mafunzo ya uwekaji alama silaha na utunzaji wa taarifa kwa Askari Polisi Jijini Dodoma, Mafunzo ambayo yalikuwa yakiendeshwa na…
Ndala apinga uhalali wa Mpina kugombea urais ACT-Wazalendo, atinga ofisi za msajili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darves Salaam Leo tarehe 22 Agosti 2025, Monalisa Joseph Ndala, mwanachama wa ACT-Wazalendo na Katibu Mwenezi wa ACT-Wazalendo (Mkoa wa Dar es Salaam) ambaye pia ni Naibu Waziri Kivuli wa Sanaa, Utamaduni na Michezo, amewasilisha malalamiko…





