JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAKUKURU Lindi yajiimarisha na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu thamani ya kura

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Lindi imetoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu yake kupitia programu ya TAKUKURU Rafiki, ikibainisha kuwa imefanikiwa kutatua kero mbalimbali zilizowasilishwa na wananchi, hususan kwenye sekta za elimu, afya, maji, nishati…

‘Wanaodai utaratibu wa kumpata mgombea urais CCM haukufuata wanajitoa ufahamu’

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amejitokeza hadharani kuwajibu wanaodai kuwa utaratibu wa kumpata Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 haukufuata taratibu, akiwataka…

INEC yaondoa fomu za uteuzi wa Wagombea urais

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi(INEC) Ramadhani Kailima ameongoza watumishi wa Tume hiyo kuondoa fomu za uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ubao wa matangazo…

Rais Samia amewasha umeme vijiji vyote Arusha

📌Vitongoji 936 vimefikiwa na huduma ya umeme Arusha 📌REA yaahidi kufikisha umeme kwa wakati ili kukuza uchumi wa wananchi 📍Arusha Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),…

TACTIC yaimarisha huduma za usafiri na usafirishaji Manispaa ya Sumbawanga

Na Mwandishi Wetu MRADI wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) unaelezwa kuimarisha huduma za usafiri na usafirishaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa baada ya ujenzi wa miundombinu ya barabara. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya…

Global Education Link yaanza kusafirisha wanafunzi nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI 100 wamesafiri kwenda kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini India kwa mwaka huu wa masomo kupitia Global Education Link. Meneja Mkuu wa GEL, Regina Lema alisema taasisi hiyo imekuwa na kawaida ya kuwasindikiza wanafunzi hao hadi kwenye…