JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mamia wafurika Makunduchi Zanzibar kusikiliza sera za Dk Samia

Mamia ya wakazi wa Zanzibar wamefurika kwa wingi katika eneo la Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja Kwa ajili ya mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan. Wananchi wameanza kufika kwenye viwanja hivyo saa…

Makusanyo ya kodi Dodoma yafikia bilioni 204, wafanyabiashara wapongeza uongozi wa Rais Samia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania(JWT) Mkoa wa Dodoma imepongeza jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan na uongozi wake kwa kazi nzuri katika kuhakikisha nchi inakua kwa utulivu na amani hali inayorahisisha biashara na uwekezaji kuendelea kufanyika bila…

Pigeni kura Oktoba 29, mtudai maendeleo – Dk Biteko

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bukombe Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amewaeleza wananchi wa Bukombe kuwa maendeleo yaliyopatikana jimboni humo yametokana na upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan kwao, hivyo wajitokeze…

Hatumchagui Dk Samia kumpa zawadi, anaweza kazi yake – Wasira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Makete CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uamuzi wa kumchagua Dk. Samia Suluhu Hassan awanie kiti cha urais kupitia CCM siyo kumpa zawadi bali ni kutokana na uwezo aliouonesha kuiongoza nchi kwa mafanikio makubwa. Kimesema Dk. Samia…

CRDB Foundation na GIZ wazindua mradi wa Ajira Ye2, kuzalishwa zaidi ya ajira 500

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) wamezindua rasmi programu ya Ajira Ye2 itakayowawezesha vijana na wanawake zaidi ya 500 kupata ajira na kukuza biashara zao…

Taasisi za Umma zapitisha maazimio tisa ya kuimarisha ufanisi

Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam. Zaidi ya Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma 650 nchini walikutana jijini Arusha kati ya Agosti 23–26, 2025 katika kikao kazi cha mwaka, maarufu kama, CEOs Forum, na kukubaliana juu…