JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mbunge wa Viti Maalum Jackline aiomba Serikali kupitia TANROADS kuharakisha ujenzi barabara Mtwara corridor

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mbunge viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Jackline Ngonyani Msongozi ameiomba serikali kupitia wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuharakisha ujenzi wa Barabara ya Mtwara corridor (Songea by pass) ambayo itasaidia kuondoa msongamano wa…

Mradi wa TAZA mbioni kukamilika – Kapinga

📌 Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga 📌 Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mradi wa TAZA 📌 Serikali yatoa Bilioni 21.4 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 📌 Wananchi…

Serikali kuendelea Kuboresha Huduma za Afya ya Mama na Mtoto

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika kuboresha afya ya mama na mtoto, Serikali kupitia Bohari ya dawa (MSD) imesema itaendelea kuboresha huduma za dharura za uzazi pingamizi na huduma za awali kwa watoto wachanga ambapo kwa kipindi cha miaka minne imenunua na…

Tanzania yajipanga na maamuzi ya Trump kuhusu ARV

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD), imesema kuwa Serikali imejipanga kukabiliana na changamoto zozote zitakazojitokeza kutokana na uamuzi wa Rais wa sasa wa Marekani, Donald Trump kusitisha misaada ya kwa nchi za Afrika. Mapema mwaka huu, mara…

MSD: Miaka minne ya Rais Dk Samia, amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurungenzi wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Mavere Tukai amesema katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu amefanya mapinduzi makubwa ya uwekezaji katika sekta ya afya na kuiweka nchi katika…