JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Kazungu ateta na balozi wa Tanzania Abu Dhabi

📌 Anadi miradi ya nishati kuvutia wawekezaji kutoka Abu Dhabi 📌 Ashiriki hafla ya ufunguzi wa Wiki ya uendelezaji Nishati Abu Dhabi na utoaji tuzo za umahiri 📌 Balozi wa Tanzania Abu Dhabi awataka watanzania kuchangamkia fursa za ajira Abu…

Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya Siku ya Sheria

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt:Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya sheria kitaifa yanayotarajiwa kufanyika februari 3 katika viwanja vya chinangali mjini Dodoma. Akitoa taarifa…

Jaji Mkuu: Toeni taarifa endapo hamjaridhishwa na huduma za mahakama

Na Mwadishi Wetu JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewahimiza wananchi wanaopata huduma katika mahakama mbalimbali nchini kutoa taarifa endapo hawajaridhishwa na huduma walizopewa. Akizungumza leo Januari 14, 2025, katika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Kifamilia kilichopo Temeke, Dar…

Wakili Mahinyila achaguliwa mwenyekiti BAVICHA

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakili Deogratius Mahinyila mechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema ( BAVICHA ) Taifa, leo Januari 14, 2025. Mahinyila ametangazwa katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, muda mfupi baada…

Maliasili, Mambo ya Ndani zatakiwa kushirikiana kukuza utalii

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imetakiwa kushirikiana kwa ukaribu na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kukuza soko la utalii nchini na kurahisisha utoaji wa huduma ya viza kwa watalii. Hayo yamesemwa leo…