Category: MCHANGANYIKO
Sagaff ajitosa kumrithi Mavunde Dodoma Mjini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mhitimu wa Shahada ya Umahiri ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Ahmed Sagaff amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi katika Jimbo la Dodoma Mjini kwenye…
Naibu Waziri Mwanaidi Aki Khamis achukua fomu kugombea ubunge Viti Maalum
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Vyuo Vikuu katika Mkoa wa Kusini Unguja.
Serikali ya Awamu ya Sita yamwaga Trilioni 1.1 Kagera, miradi 28 ya kimkakati yatekelezwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Kagera, ambapo zaidi ya Shilingi trilioni 1.131 zimetolewa kwa kipindi cha Novemba 2020 hadi Aprili 2025. Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hajjat Fatma Mwassa, amesema fedha…
Rais Samia, Tume ya Umwagiliaji na Uchaguzi Mkuu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, aDodoma Wiki iliyopita ilikuwa na mambo mengi. Nimepata fursa ya kuwa katika Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati Rais Samia Suluhu Hassan anatoa hotuba ya kuvunja Bunge la 12, lililoanza mwaka 2020…
UDOM yatoa elimu ya ulaji bora kupunguza magonjwa yasiyoambukiza
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeshiriki Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwa kutoa elimu ya ulaji bora kwa lengo la kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Akizungumza katika…
Iran yalaumiwa kwa vitisho dhidi ya IAEA
Mataifa ya Ufaransa, Ujerumani na Uingereza yamelaani vikali kile walichokiita vitisho vya Iran dhidi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Kudhibiti Nishati ya Nyuklia (IAEA), Rafael Grossi. Hatahivyo,Tehran imetupilia mbali lawama hizo, ikisema inahofia usalama wa wakaguzi wa…