Category: MCHANGANYIKO
Bilioni 18 zimehusisha matengenezo miundombinu ya BRT si mradi wa Jangwani pekee
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam inatekeleza mradi wa matengenezo (maintenance) ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya kwanza chini ya mradi wa OPBRC (Output and Performance-Based…
Zaidi ya bilioni 11 kusambaza umeme vitongojini Shinyanga
📌Kunufaisha Kaya 2,970 katika Vitongoji 90 ndani ya Wilaya Tatu 📌RC Macha asema Umeme ni kipaumbele cha Rais Samia Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa Shilingi Bilioni 11.18 wa kusambaza umeme katika vitongoji 90 utakaonufaisha Kaya…
Jeshi la Korea Kaskazini laingia Urusi
Msemaji wa Pentagon, Meja Jenerali Pat Ryder amesema kati ya wanajeshi 11,000 na 12,000 kutoka Korea Kaskazini tayari wamewasili nchini Urusi. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwa mujibu wa data za kijasusi zinaeleza kwamba wanajeshi 11,000 wa Korea Kaskazini…
Mradi ufungaji mifumo ya umeme jua 20,000 mbioni kuanza
Imeelezwa kuwa, miradi ya ufungaji wa mifumo ya umeme jua ipatayo 20,000 ipo mbioni kuanza katika maeneo ya visiwani na makazi yaliyo vijijini ambayo hayajafikiwa na Gridi ya Taifa. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA),…
Watumishi MSD,CRDB wabadilishana uzoefu na kujifunza utoaji huduma bora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika hatua ya kuongeza ujuzi katika utoaji wa huduma kwa wateja Watumishi wa Bohari ya Dawa (MSD) wa Kurugenzi ya Ugavi wanaofanya kazi kwenye Idara ya Huduma kwa Wateja wametembelea Ofisi za Makao…
Tanzania kuwasilisha maandiko ya miradi ya dola bilioni moja COP29
Tanzania inatarajia kuwasilisha maandiko ya miradi mikubwa tisa ya kimkakati yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1,433 katika Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) utakaofanyika Baku, Azerbaijan kuanzia Novemba 11 hadi 22,…