Category: MCHANGANYIKO
Kangi asema Rais Samia si nguvu ya soda
Mgombea ubunge wa Jimbo la Mwibara, Kangi Lugola amesema nguvu ya maendeleo inayofanwa na mgombea urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan si nguvu ya soda. Lugola ametoa kauli hiyo wakati akisalimia wananchi wa Jimbo la Bunda mkoani Mara wakati…
Uwekezaji wa Serikali wafikia Sh92.3 trilioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji uliofanywa na serikali ndani na nje ya nchi umeongezeka kwa asilimia 7 hadi kufikia Sh92.29 trilioni Juni 30, 2025 kutoka Sh86.3 trilioni katika mwaka wa fedha 2023/24. Uwekezaji huu wa serikali unahusisha…
ACT Wazalendo kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi, yawaomba wananchi wakipe ridhaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi endapo wananchi watakipa ridhaa ya kuongoza kwa kuchagua wabunge na madiwani wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akifafanua wakati wa…
Kagera wahimizwa kujiepusha chokochoko zinazoweza kusababisha uvunjifu wa amani
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Katika kuelekea kufanyika zoezi la uchaguzi mkuu mnamo Oktoba 29, 2025 wananchi mkoani Kagera na kwingineko nchini wameaswa kutokujihusisha na mambo yenye viashiria vya uvunjifu wa amani ili kuepukana na vurugu zinazoweza kuhatarisha usalama nchini….
Miradi ya kusambaza umeme vitongojini kukamilika ifikapo 2030
📌Huduma ya umeme kwenye vitongoji yafikia asilimia 58📌Majiko banifu 200,000 kuuzwa kwa ruzuku ya 80% hadi 85% Tanzania bara📌Mitungi ya gesi 452,455 ya kilo 6 kuuzwa kwa ruzuku ya 50%📌Mifumo 20,000 ya umeme jua kufungwa kwa wakazi maeneo ya visiwani📌Serikali…
Kihongosi : Msikubali vijana kuingizwa kuingizwa mkenge
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa Vijana wote nchini kutokubali kuingizwa mkenge na baadhi ya watu wasio na uzalendo wa Taifa letu wala kujali utu wenye…





