JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DED Nyasa akagua miradi yenye thamani ya mil.582,017,569/-

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Nyasa DC Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Khalid Khalif ameendelea na utaratibu wake wa kawaida wa kuwatembelea wakandarasi kwenye Kandarasi za Miradi ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa ikiwa ni sehemu ya kuhimiza ukamilishwaji kwa…

Tudumishe amani, umoja na mshikamano kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 – Rais Sami

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza umuhimu wa kuhakikisha Taifa linaendelea kudumu katika misingi imara iliyowekwa na waasisi wake, ambayo ni haki, amani, umoja na mshikamano wa kitaifa, akisisitiza kuwa mshikamano na ushirikiano…

Latra yang’ara tuzo Mashirika ya Umma

Dkt. Phillip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amekabidhi tuzo kwa Wizara ya Uchukuzi na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kutambua kazi nzuri iliyofanywa katika huduma za udhibiti usafiri ardhini kwa kuzingatia vigezo…

Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi…

Mkutano wa saba wa kimataifa sekta ya madini kufanyika Novemba 2026

Yaelezwa sababu ni kupisha maandalizi ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Madini imetangaza kusogeza mbele Mkutano wa Saba (7) wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini uliokuwa ufanyike mwezi Novemba 2025 na badala…

Waziri Kombo akutana na wabunge marafiki wa Afrika wa Bunge la Japan

Na Mwandishi Maalum Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wabunge Marafiki wa Umoja wa Afrika katika Bunge la Japan, Mhe….