JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tutaendelea kudhibiti uhalifu wa kifedha – Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania itaendelea kushiriki na kutimiza matakwa ya kimataifa katika kupambana na kudhibiti uhalifu wa kifedha. Amesema kuwa Tanzania inatambua changamato za uhalifu wa kifedha na imejidhatiti katika kudhibiti hali hiyo kwa viwango vya kimataifa…

JWTZ lasaidia huduma tiba na afya Jamhuri ya Afrika ya Kati

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limechangia huduma tiba na afya kwenye hospitali ya Jiji la Berberati iliyoko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati tarehe 14 Aprili mwaka 2025. Akizungumza mara baada ya uchangiaji wa huduma hizo kwa niaba…

TPDC, ZPDC zaendelea kushirikiana uendelezaji sekta ya gesi nchini

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Petroli Zanzibar (ZPDC) ambapo kupitia ushirikiano huo masuala mbalimbali yamekuwa yakifanyika kuiendeleza…

Nachingwea yaanza kunufaika na vituo vya kudhibiti wanyamapori waharibifu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Lindi Wananchi wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), wakisema kuwa hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uvamizi wa…

Serikali yapongeza NMB kwa kampeni bora ya upandaji miti Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Kibaha Serikali imeipongeza Benki ya NMB kwa kutenga kiasi cha Sh. Mil. 225 kwa ajili ya kuzawadia Shule Bora katika Kampeni ya Upandaji Miti Milioni 1 ‘Kuza Mti Tukutuze,’ ambapo Shule ya Sekondari ya Mwambisi Forest ya…

Makamu wa Rais ashiriki kumbukizi ya miaka 103 ya kuzaliwa Baba wa Taifa

…………………………………………………………………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere alisisitiza sana Watanzania kulinda amani na umoja katika nchi, aliamini kwa dhati usawa wa binadamu na ujenzi…