JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Sanaa ni uchumi – Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejidhatiti kuendelea kukuza na kuimarisha sanaa nchini ikiwa ni moja ya sekta rasmi ya kiuchumi. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili (Aprili 13, 2025) katika Kongamano la Chama cha Wafawidhi wa Matukio Tanzania, linalofanyika Olasiti Garden,…

Wananchi waipa tano Serikali kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara na daraja Ruvuma

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Wananchi wa vijiji vya Mkenda Nakawale Halmashauri ya Songea vijijini pamoja na wananachi wa kijiji cha Mitomoni Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala wa…

Kikwete awasilisha ujumbe maalumu wa Rais Samia nchini Guinea ya Ikweta

Rais Mstaafu wa Tanzania na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasilisha Ujumbe Maalum ambao ulipokewa na Waziri wa Nchi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Guinea ya Ikweta, Simeon Oyono Esono Angue,…

Wakili wa kimataifa Amstedam aingilia kati sakata la Lissu

Katika kile kinachoonekana kama hatua kubwa ya kidiplomasia na kisheria, wakili maarufu wa kimataifa, Robert Amsterdam, ametangaza kuingilia kati na kutetea haki za Tundu Lissu, mwanasiasa mashuhuri na mpambanaji wa demokrasia nchini Tanzania. Hii inafuatia kukamatwa kwa Lissu na viongozi…

RC Sendiga : Nahitaji orodha ya wawekezaji wote na shughuli zao Simanjiro

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga amemtaka Mkuu wa Wilaya hiyo Fakii Raphael Lulandala kuhakikisha anampatia orodha ya wawekezaji wote waliowekeza katika vijiji ndani ya wilaya hiyo ikiwa ni pamoja na kufamu kazi…

Dk Kellen-Rose Rwakatare achangia milioni 2.2 ujenzi wa madrasa Taqwa na choo cha msikiti Mlimba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara MWENYEKITI wa Umoja wa Wazazi Mkoa wa Morogoro (UWT), Dk. Kellen-Rose Rwakatare ametoa shilingi milioni 1 kwa ajili ya ujenzi wa madirisha na milango kwenye Madrasat Taqwa iliyopo msikiti wa Igima uliopo kata ya Mbingu…