JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea WIZARA ya Katiba na Sheria, imeanzisha program ya kutoa mafunzo ya utatuzi wa migogoro kwa njia mbadala ambapo wajumbe na mabalozi 2,200 kutoka kata 11 za jimbo la Songea mkoani Ruvuma wamenufaika. Mafunzo hayo yalifunguliwa…

Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza

Papa Leo XIV ameongoza Misa katika Kanisa la Sistine, ikiwa ni mara ya kwanza kufanya hivyo kama kiongozi wa Kanisa Katoliki. Alibusu madhabahu na kuizunguka mara moja akiwa na moshi wa ubani. Papa aomba msamaha wa Mungu Ibada hiyo imeanza…

Serikali yasikitishwa na azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kesi ya Tundu Lissu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeeleza kusikitishwa kwake na azimio la Bunge la Ulaya la baadhi ya watendaji wa kimataifa kutoa maamuzi kwa kuzingatia taarifa zisizo kamili. Imesema imezingatia azimio lililopitishwa na Bunge la Ulaya tarehe 8…

Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la mwaka

Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya kukusanya Sh749 bilioni hadi kufikia Mei 7, 2025 sawa na asilimia 67 ya lengo la mwaka wa fedha 2024/25…

Vikundi 49 vya wanawake wajasiriamali Mbulu Mji kupata mikopo ya milioni 168

Na Mwandishi wetu, Mbulu Vikundi 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya Sh168 milioni. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Rehema Bwasi ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha…