JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Selikali kuboresha mazingira ya watafiti na wabunifu wa TEHAMA nchini

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha SERIKALI imeanza maandalizi ya ujenzi na ukarabati wa vituo vinane vya ubunifu katika mikoa minane ili kuboresha mazingira ya watafiti na wabunifu wa TEHAMA nchini. Aidha Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imezindua kampeni…

Waziri Mhagama apongeza kiwanda pekee kinachotengeneza maji tiba nchini

……. Ni cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amekipongeza kiwanda cha kutengeneza maji tiba cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited kilichoko Mkoa wa Pwani. Alitoa pongezi hizo jana alipotembelea kiwanda hicho kwa…

Jaji Warioba : Napongeza CCM kwa hatua zake hidi ya rushwa

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mapambano dhidi ya rushwa kwenye uchaguzi. Jaji Warioba ametoa pongezi hizo akirejea mabadiliko ya Katiba ya…

Bolt yafurahishwa kuongezeka idadi ya wateja wanaotumia huduma za usafiri mtandaoni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za usafirishaji mtandaoni nchii na Barani Afrika imefurahishwa na kuongezeka kwa idadi ya wateja wanaotumia huduma hiyo. Dimmy Kanyankole ni Meneja Mkuu wa Bolt Tanzania na Kenya alisema kuwa…

Washindi Tuzo za kihistoriaTEHAMA 2025 hadharani leo

*Tume ya TEHAMA yafikiria Tuzo kwa wanahabari Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WASHINDI wa kwanza wa Tuzo za TEHAMA 2025, wanatarajiwa kutangazwa rasmi leo katika hafla ya Tuzo hizo zinazotarajiwa kufanyika katika Hoteli ya Nyota Tano ya Gran…