JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majaliwa aisifu SAGCOT kwa kuwa chachu ya maendeleo ya kilimo nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameisifu taasisi inayojihusisha na mpango wa kukuza kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania ( SAGCOT) kwa kuwa mfano wa kuigwa katika maendeleo ya kilimo hapa nchini ambapo kupitia utendaji kazi mzuri…

NHIF yapewa tano utekelezaji Bima ya Afya kwa wote

Na MwandishibWetu, JamhuriMedia, Singida Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umepongezwa kwa kuanza utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ambapo kwa sasa wananchi wanajiunga kupitia vifurushi vya Ngorongoro na Serengeti. Pongezi hizo zimetolewa leo na…

Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation na NEXLAW waungana kuinua wajasiriamali vijana Tanzania

Na Mwandishi Wetu Taasi ya Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF) na Kampuni ya wanasheria NEXLAW Advocates ya Dar es Salaam wamesaini rasmi makubaliano ya ushirikiano (MoU) yenye lengo la kuimarisha na kukuza ujasiriamali wa vijana nchini Tanzania kupitia Mpango wa…

Diwani Kisarawe azindua msimu wa nne wa mbio za Jerusalem

Na Lookman Miraji Diwani wa Kata ya Kisarawe 2, iliyoko katika Wilaya ya Kigamboni, Issa Hemed ameuzindua rasmi msimu wa nne wa mbio za hisani zijulikanazo kama Mbio za Jerusalem. Mbio hizo ambazo hufanyika kila mwaka chini ya uratibu wa…

TANESCO yaanza rasmi zoezi la kulipa fidia wananchi waliopisha ujenzi miradi ya umeme

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara 📌Ni mradi wa ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha umeme wa kilovoti 220 Tunduru -Masasi . 📌Jumla ya shilingi Bilioni 4.7 kutumika kulipa fidia kwa wananchi 📌Wananchi waahidi kuyahama maeneo ndani ya siku 30 walizopewa….

Waziri Mkuu ataka wakulima, wananchi kujiunga na vyama vya ushirika vilivyosajiliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa,amewataka wakulima na wananchi kwa ujumla wahakikishe wanajiunga na vyama vya ushirika vilivyosajiliwa, ili waweze kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na Serikali na wadau wa maendeleo. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo  Aprili 27, 2025 wakati akifungua  mdahalo…