JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kikwete ashauri mbinu za kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye kilimo

Addis Ababa, Februari 13, 2025 – Rais Mstaafu Dkt. Jakaya mrisho Kikwete ameungana na viongozi mbalimbali wa Afrika katika kongamano la kimataifa kuhusu umwagiliaji na uzalishaji wa kilimo himilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, lililofanyika siku ya Jumatano mjini Addis…

Tanzania yatumia Wiki ya Nishati India kunadi vitalu vyamafuta na gesi asili

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Tanzania (PURA) imeendelea kuhamasisha wawekezaji mbalimbali duniani kushiriki katika Duru ya Tano ya Kunadi Vitalu vya utafutaji wa Mafuta na…

Majaliwa aitaka TARURA kuwasimamia wakandarasi binafsi

▪️Asisitiza Serikali itaendelea kuwawezesha wawekezaji wazawa* *▪️Aeleza mpango wa Serikali wa kukabiliana na ugonjwa wa Malaria nchini* Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala wa Brabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ihakilishe inatoa kandarasi za ujenzi na ukarabati wa barabara kwa…

TMA : Kuna ongezeko la joto kwa baadhi ya maeneo nchini

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kumekuwepo na ongezeko la joto katika baadhi ya maeneo nchini hususan yapatayo misimu miwili ya mvua kwa mwaka kwa miezi ya hivi karibuni. Hali hii imesababishwa na kusogea kwa jua la utosi…

Serikali yaombwa kuwapeleka wataalam UDOM kupata mafunzo ya ubobezi ya TEHAMA

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeombwa kuwapeleka wataalamu katika chuo kikuu cha Dodoma ili waweze kupata mafunzo ya ubobezi katika fani ya TEHAMA ili kuweza kuboresha utendaji kazi wao na kuleta tija kwa wananchi na taifa kwa ujumla. Hayo…

Waliosababisha ajali iliyopelekea kifo cha mwanamke mmoja mbaroni

Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linawashikilia watuhumiwa wawili ambao ni John Peter (45) dereva na mkazi wa Manyire Wilayani Arumeru Mkoani Arusha na Jafari Shirima (62) dereva na Mkazi wa Singida…