Category: MCHANGANYIKO
Wizara ya Nishati yataja mafanikio utekelezaji majukumu 2024/ 2025
π Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9 π Misheni 300 kuongeza upatikanaji umeme kwa asilimia 100 ifikapo 2030. π Serikali yaokoa sh.i bilioni 58.4 kwa kuunganisha Kigoma na gridi ya Taifa. π Upatikanaji bidhaa za mafuta umeendelea kuwa wa uhakika…
Miaka minne ya Rais Samia imeleta mapinduzi ya utalii Mpanga/ Kipengere – Semfuko
π Mapato na Idadi ya Watalii Vyaongezeka Na Beatus Maganja, JamhuriMedia, Mbeya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Meja Jenerali (Mstaafu) Hamis R. Semfuko, amesema kuwa juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita…
Netanyahu amfuta kazi mkuu wa Ujasusi Israel
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amemfuta kazi mkuu wa Idara ya Ujasusi wa taifa hilo kutokana na kushindwa kuligundua shambulio la Oktoba 7, 2023 la Hamas. Baraza la mawaziri la Israel lilikutana Alhamisi jioni ili kuidhinisha rasmi kufutwa kazi…
Miradi ya REA yaiwezesha Tanzania kung’ara kimataifa
Imeelezwa kuwa, utekelezaji wa miradi ya kusambaza nishati safi ya kupikia vijijini umeiwezesha Tanzania kungβara katika Mkutano wa 69 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani (CSW 69) unaofanyika jijini New York, nchini Marekani kuanzia tarehe 11 hadi 22 Machi,…
Rais Samia achangia milioni 50 kumuenzi padri Shirima
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya maendeleo ya Shule ya Sekondari ya Seminari Uru, mkoani Kilimanjaro. Mchango huo…
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 10
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 10 kwa nyakati tofauti. Watuhumiwa hao ni Daudi Ochieng (37), ambaye ni mwalimu wa Shule ya Msingi na Adon Sospiter (53), wote wakazi wa Ibisabageni…




