Category: MCHANGANYIKO
Bunge latoa kongole utendaji ufanisi wa TPA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imefurahishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) ambao umechochea uboreshaji wa huduma katika bandari mbalimbali hapa nchini uliotokana na maboresho ya…
NFRA Yapanua Uwekezaji ,Ufanisi katika Sekta ya Mbolea Nchini
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Kupitia mfumo wake wa ruzuku ya mbolea,imesaidia ongezeko la matumizi ya mbolea kutoka tani 363,599 mwaka 2020/2021 hadi tani 840,714 mwaka 2023/2024. Ongezeko hilo limewezesha kuongezeka kwa matumizi ya mbolea…
Maendeleo Benki kutekeleza kwa vitendo huduma ya kifedha kidigitali
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Maendeleo Benki ,Profesa Ulingeta Mbamba amesema kuwa Maendeleo Bank imendelea kutekeleza kwa vitendo mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya Fedha kwa kuanzisha huduma ya kidigitali ijulikanayao kama “Click Bank…
Serikali yavuna bilioni 3/- ndani ya miezi mitatu
· Ni kupitia Sekta ya Madini Kagera · Waita wawekezaji ndani na nje MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Kagera yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa mwaka wa fedha ulioanza Julai 2024/…
Miaka minne ya Dk Samia…TRA yang’ara
*Yaandika historia kwa kuvunja rekodi ya makusanyo miezi minane mfululizo *Maboresho, uanzishwaji wa mifumo mipya ya TEHAMA yatajwa nyuma ya mafanikio *Ukaribu kati ya watumishi wa TRA, wafanyabiashara waongeza mapato, kuaminiana *Mwenda: Ifikapo Agosti mwaka huu mambo yatakuwa mazuri kupita…
Tume kuongeza mashine vituo vyenye watu wengi
Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema itaongeza mashine za BVR na watendaji katika vituo ambavyo vimebainika kuwa na watu wengi ili kufanikisha uandikishaji na uborteshaji wa taarifa katika Daftari la Kudumu lka Wapiga Kura mkoani Dar…





