Category: MCHANGANYIKO
Nyongo: Sekta binafsi ina mchango mkubwa kwa taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Stanislaus Nyongo, ametoa wito kwa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika kupanga na kutekeleza mikakati mbalimbali ya nchi kwani zina mchango mkubwa kwa taifa. Ameyasema hayo leo…
Majaliwa aipa maagizo TANROAS ukarabati barabara, madaraja
*Asema Rais Dkt. Samia ametoa shilingi bilioni 130 kwa ajili ya ukarabati madaraja mkoa wa Lindi. *Awatoa hofu wakazi na watumiaji wa barabara ya Dar, Lindi. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa Mameneja wa Wakala ya Barabara nchini (TANROADS)…
Milioni 431.2 zawagusa wananchi waliokuwa taabani Chato
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato ZAIDI ya shilingi milioni 431.2 zimetumika kwaajili ya kutekeleza mradi wa uchimbaji visima vitano kwenye vijiji vilivyokuwa na ukosefu mkubwa wa maji safi na salama kwenye Jimbo la Chato mkoani Geita. Huo ni mpango mkakati…
Serikali yasisitiza uanzishwaji vyama vya ushirika Lindi, Mtwara
Na Christopher Iilai, JamhuriMedia, Lindi Serikali imesitisha uazishaji wa vyama vya ushirika kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na badala yake vyama vilivyopo vijikite katika kujihimarisha kiuchumi ile viweze kuiiendesha. Hayo yamesemwa na Mrajis wa vyama vya ushirika nchini,Dr Benson…
Tukimsikiliza Dk. Nchimbi, kesi ya Lissu itafutwa
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Nairobi Wiki iliyopita sikuandika katika safu hii. Sikuandika si kwa sababu nyingine bali hekaheka za uchaguzi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), ambapo nawashukuru wanachama wa TEF kwa heshima kubwa waliyonipa ya kunichangua kwa kishindo bila…
Masauni azindua bodi mpya NEMC na kuipa maagizo 7
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ameiagiza Bodi mpya ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kushughulikia changamoto ya ukuaji wa haraka wa miji (urbanization) ili…




