JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Kikwete: Fursa za ajira kwa vijana nje ya nchi kipaumbele cha Serikali ya Rais Samia

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es salaam Serikali imesema itaendelea inahakikisha inaweka mikakati madhubuti ya kuwawezesha watanzania zaidi ya 1000 kupata fursa ya ajira nje ya nchi Akizungumza jijini Dar es Salaam Novemba 28, 2024 Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu…

Naibu Waziri Chumi ashiriki Kongamano la Biashara na Uwekezaji la Zanzibar na Ubelgiji

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Cosato Chumi (Mb.) ameshiriki kwenye Kongamano la Biashara na Uwekezaji la Zanzibar na Ubelgiji lililofanyika tarehe 28 Novemba, 2024, Zanzibar na kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Wadau wa jinsia wataka NAOT kufanya ukaguzi unaozingatia jicho la jinsia

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma MTANDAO wa Jinsia Tanzania(TGNP) umefanya kikao kazi cha kuwezesha Menejimenti ya Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (NAOT) kuzingatia masuala ya kijinsia wakati wa kufanya ukaguzi ili kuimarisha uelewa wa masuala ya Jinsia. Akizungumza November 28,2024 Jijini…

Polisi : Taarifa wagombea Katavi, Kigamboni ni za kutengeneza

Zipo taarifa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine inayoonyesha kutolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Roda Kunchela ikieleza kuwa, mgombea wa Mtaa wa Miembeni Kilimahewa kupitia CHADEMA, Nsajigwa Mwandembwa alikamatwa na Polisi akiwa nyumbani kwake. Aidha, ameeleza…