JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yatenga Bil. 50/- kuanzisha Kituo cha mafunzo ya vitendo Chuo cha NIT

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetenga Shilingi Bilioni 50 kwa ajili ya kuanzisha Kituo cha Umahiri cha Usafiri wa Anga na Operesheni za Usafirishaji katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), hatua inayolenga kuongeza wataalamu na kuboresha…

Mradi wa TACTIC waleta neema kwa wananchi Manispaa Songea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Wananchi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wameanza kunufaika na uboreshaji wa miundombinu kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC), unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo…

Rais Samia kujenga kituo kikubwa Dodoma cha kusambaza umeme nchini – Dk Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kubwa ya mfano katika sekta ya Nishati ambapo amesema Mkoa wa Dodoma muda si mrefu utakuwa ni kitovu cha usambazaji…

JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Changamoto ya kiuchumi kwa jamii imekuwa ni kikwazo kwa baadhi watoto  kuendelea na matibabu ya moyo hali iliyosababisha kuchelewa kupata matibabu ambayo yangeokoa maisha yao. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa…

Tanzania yazoa medali za riadha FEASSA 2025

OR-TAMISEMI, Kenya Tanzania imeendelea kung’ara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Shule za Msingi na Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA 2025) baada ya kufanya vizuri kwenye michezo ya riadha na kujinyakulia medali nyingi katika fainali zilizofanyika mjini Kakamega, Kenya. Mashindano…

Mwenyekiti CCM aongoza kikao cha uteuzi wa wagombea ubunge

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,kilichoketi leo Agosti 21,2025 Jijini Dodoma kwa ajili ya kufanya uteuzi wa…