Category: MCHANGANYIKO
Manispaa ya Mji Kibaha imetenga milioni 420 kufungua na kuboresha Baraza za mitaa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani imetenga sh. milioni 420 kutoka mapato yake ya ndani kwa ajili ya kufungua na kutengeneza barabara za mitaa katika kata 14 , ikiwa ni hatua ya kupunguza kero za miundombinu…
Uchapakazi wa Dk Samia umeleta imani kwa wapinzani, waikubali CCM
𝙆𝙖𝙩𝙞𝙗𝙪 𝙈𝙠𝙪𝙪 𝘿𝙠𝙩. 𝙈𝙞𝙜𝙞𝙧𝙤 𝙖𝙬𝙖𝙥𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙑𝙞𝙤𝙣𝙜𝙤𝙯𝙞 𝙬𝙖 𝘾𝙃𝘼𝘿𝙀𝙈𝘼 𝙣𝙖 𝘼𝘾𝙏 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro amewapokea wanachama watatu (3) ambao mmoja ni Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) pamoja na wawili wa…
Kunenge – IPOSA ilete matokeo na kuacha alama Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameagiza Idara ya Elimu mkoani humo kusimamia utekelezaji wa Mpango wa Elimu Changamani kwa Vijana walio nje ya Mfumo Rasmi wa Elimu (IPOSA), akisisitiza kuwa lazima mpango huo…
Sumaye: Samia ni mvumilivu, CCM haianguki
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mratibu wa Kampeni Kanda ya Kaskazini na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mvumilivu mno. Sumaye ametoa kauli hiyo wakati akisalimia maelfu ya wananchi wa Manyara wakati wa…
Dk Samia apokelewa kwa shangwe Babati, wananchi wamuahidi kumpa kura
Tayari Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 amewasili na kupokelewa na Viongozi wa CCM na Jumuiya zake, Viongozi wa dini, Machifu, Wazee na…
Madaktari MOI, Muhimbili wapiga
kambi Comoro matibabu ya kibingwa ….Wamo pia wa JKCI, Ocean Road na Benjamin Mkapa Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Taasisi ya Mifupa (MOI) ni miongoni mwa hospitali zilizopeleka mdaktari wake bingwa kwenye kambi ya wiki…





