JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mwanafunzi aliyejinyonga kwa mtandio azikwa

Mwili wa mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Simiyu, Latifa Juma ,17, aliyepoteza maisha kwa kujinyonga kwa kutumia mtandio chumbani kwake umezikwa leo. Tukio hilo limetokea Februari 30, 2025 na kugundulika na mama yake mzazi majira ya…

Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua mfumo mpya wa Sera ya elimu huku akiweka msisitizo wa Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini. Amesema dhamira ya mabadiliko ya…

Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imeanza maandalizi ya mzunguko wa 11 kati ya mizunguko 13 ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mikoa ya Pwani na Tanga ambayo zoezi la uboreshaji…

Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Same limepitisha kiasi cha shilingi bilioni 63.420 kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo ndani ya wilaya hiyo. Bajeti hiyo…

Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chato WANANCHI wilayani Chato mkoani Geita wamejitokeza kumchangia Rais Samia Suluhu Hassan kiasi cha Sh milioni 1.4 kwa ajili ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya uraisi katika uchaguzi mkuu mwaka 2025. Mchango huo umefanyika katika…