JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bilioni 36/- kunufaisha wakulima 5,000 kwa umwagiliaji Nzega

📍NIRC:Nzega, Tabora Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imekabidhi awamu ya tatu ya utekelezaji wa Mradi wa Umwagiliaji wa Skimu ya Idudumo, wenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 36, kwa Mkandarasi Kampuni ya Mkwawa Logistics and Construction Limited. Mradi…

Serikali kuendelea kuwekeza katika sekta ya afya -Dkt Biteko

📌 Dkt. Biteko atambelea Hospitali ya Wilaya ya Meru Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania. Hayo yamesemwa Aprili,…

THRDC: Kuna umuhimu wa kukubaliana mambo ya msingi kabla ya Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umesema kuna umuhimu wa kukaa kwenye muafaka wa kitaifa na kukubaliana mambo ya msingi kabla ya kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu….

Maelfu wanaendelea kumuaga Papa Francis leo

Maelfu ya watu wameendelea kujitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Maelfu ya watu wameendelea kujitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa kiongozi…

Serikali yakamilisha upembuzi yakinifu mradi wa maji ziwa Victoria

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amesema serikali imekamilisha upembuzi yakinifu wa awali kwa ajili ya upanuzi wa Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria wa Tinde-Shelui kwenda zaidi ya vijiji 30 vya wilaya za Shinyanga na Iramba. Alisema utekelezaji wa mradi…

Serikali yatenga bil.5.5/- ujenzi nyumba 54 za walimu

KATIKA bajeti ya mwaka 2025/2026, serikali imetenga Sh bilioni 5.5 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 54 za walimu nchi nzima. Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, Zainab Katimba alisema nyumba hizo ni mbili kwa moja na zitajengwa katika maeneo…