JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Shirika la Abilis Foundation kufadhili mradi wa kuimarisha uongozi kwa wenye ulemavu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Shirika la Abilis Foundation lenye makao yake makuu nchini Ufaransa limefadhili Mradi wa Kuimarisha Uongozi kwa Watu Wenye Ulemavu utakaotekelezwa na Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope inayoendesha shughuli zake Dodoma. Hayo yameelezwa Jijini Dodoma na Mkurugenzi…

Biden amsamehe mwanawe Hunter mashtaka ya jinai

Rais wa Marekani Joe Biden amempa mwanawe Hunter Biden msamaha wa rais na kumuepushia kifungo jela kutokana na makosa ya umiliki wa bunduki kinyume cha sheria na madai ya kukwepa kulipa kodi. Kwa hatua hiyo, Rais Biden amekwenda kinyume na…

Abdul Nondo apatikana Coco Beach baada ya kutelekezwa

Mahmudu Abdul Nondo, mwanaharakati na kiongozi wa ACT Wazalendo, aliripotiwa kupatikana kwenye fukwe za Koko Beach jijini Dar es Salaam mnamo Desemba 1, 2024, baada ya kutoweka kwa siku kadhaa. Nondo alikuwa ameripotiwa kutekwa awali, hali iliyozua taharuki na mjadala…

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki waijadili DRC

Viongozi wakuu wa nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki wamefanya juhudi kwa mara nyingine za kujaribu kuuleta amani mashariki mwa Kongo. Viongozi hao waliokutana Jumamosi bado walishindwa kupiga hatua kufuatia kutokuwepo kwa rais wa Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo na…

Abdul Nondo adaiwa kutekwa katika Kituo cha Mabasi Magufuli

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Ngome ya vijana ya chama cha ACT Wazalendo, Abdul Nondo amedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana akitokea mkoani Kigoma alikokuwa na viongozi wengine wa kitaifa wa chama hicho, walioongoza kampeni kwenye mikoa…