JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko afungua Mkutano wa Nishati wa Viongozi Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, .Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika…

Mkutano wa Nishati Safi wapamba moto Dar

Katika ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere mazingira ya nje ya ukumbi yana mvuto wa kipekee kutokana na kuwepo kwa burudani za aina mbalimbali. Mkutano huu wa Nishati unaunganisha wageni na viongozi mbalimbali ndani na nje ya nchi hususa ni…

Wasira: Uamuzi wa Mkutano Mkuu umezingatia katiba ya CCM

*Awapa darasa wanaodai sababu ya CCM kupitisha wagombea urais *Asema yupo tayari kuwapa somo waifahamu vyema katiba ya chama   Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema uamuzi wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliomchagua…

Ulega : Barabara Kuu Mwanza Mjini-Usagara kujengwa njia nne

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inachukua hatua za haraka kushughulikia msongamano wa magari kwenye Barabara Kuu kutoka Mwanza Mjini hadi Usagara kwa kuijenga kwa njia nne. Ulega amesema hayo…

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Uganda awasili nchini Tanzania

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Robinah Nabbanja, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, utakaofanyika tarehe 27 na 28 Januari 2025. Alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa…

Rais wa Nigeria awasili nchini

Rais wa Jamhuri ya Nigeria Mheshimiwa Bola Ahmed Tinubu , amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 hadi 28 Januari 2025. Katika Uwanja…