JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majaliwa : Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwa TMA

▪️Lengo ni kuwezesha utoaji wa utabiri na tahadhari za hali mbaya ya hewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya…

Kliniki ya sheria bila malipo yazinduliwa Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro MKOA wa Kilimanjaro umeingia kwenye ukurasa mpya wa upatikanaji wa haki kwa uzinduzi rasmi wa Kliniki ya Sheria bila malipo, uliofanywa na Mkuu wa Mkoa, Nurdin Babu. Hafla hiyo ilifanyika leo Januari 21, 2025 katika…

Gethsemane group Kinondoni yaipua wimbo wa Ni siku yetu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KWAYA ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) SDA ya jijini Dar es Salaam imeipua wimbo wake mpya maalumu kwa ajili ya Harusi ujulikanao kama Ni Siku Yetu. Wimbo huo umetolewa mwishoni mwa wiki iliyopita…

Waziri Kombo awakaribisha wafanyabiashara wa Czech

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuangalia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta za utalii uchukuzi, afya, TEHAMA, nishati, madini na elimu. Waziri Kombo alitoa mwaliko huo…

Dk Biteko ataka mitaala vyuoni iendane na mabadiliko ya teknolojia

📌Azindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 – 2075) 📌Asisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii 📌Taasisi za elimu ya juu zatakiwa kuweka mkazo mafunzo ya ujasiriamali Vyuo na taasisi zinazotoa elimu ngazi ya Kati ikiwemo…