JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RC Chalamila : Tunaendelea kuokoa majeruhi kwa ustadi mkubwa

*Asema toka jana usiku hadi asubuhi ya leo Novemba 17,2024 watu watano (5) wameokolewa na kupelekwa Hospitali -Awatoa hofu wanaosema zoezi linakwenda taratibu asisitiza vifaa vyote vya uokozi vipo lakini kinachofanyika ni ustadi na akili zaidi Mkuu wa Mkoa wa…

Walioou bibi, kumkata titi na sehemu za siri wakamatwa

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia,Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora linawashikiria watu watatu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwanamke aitwaye Sagali Masanja (62) bibi mkazi wa Kijiji cha Mahene Wilaya ya Nzega, kumkata titi na sehemu za siri na…

MSD yakabidhi dawa na vifaa vya dharura ajali ya jengo Kariakoo

Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imekabidhi baadhi ya dawa na vifaa vya dharura kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa ajali ya kuangukiwa na ghorofa Kariakoo, Dar es Salaam. Vifaa hivyo vya dharura vilivyokabidhiwa kwa Mganga Mkuu wa Manispaa ya…

TAMISEMI yafafanua malalamiko kuhusu kuenguliwa kwa wagombea

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amefafanua malalamiko yaliyotolewa kuhusu kuenguliwa kwa wagombea mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mtaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, mwaka huu. Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 16, 2024…