JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Sangu : Mahusiano mema msingi wa umoja wa taifa

…………………………… Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu amesisitiza umuhimu wa kudumisha mahusiano mema ili kuimarisha umoja wa Taifa na kuchochea maendeleo endelevu nchini. ‎Sangu alisema hayo wakati…

Serikali yapogezwa kuanzisha mfumo wa soko la ajira kidijitali

Na Mwandishi Wetu WAAJIRI kutoka Sekta Binafsi wamefurahishwa na kuipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Wazifri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kwa kuanzisha Mfumo wa Taifa wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko la Ajira (NLMIS) wakieleza kuwa hatua hiyo ni…

Gwajima azindua Mkakati Kuboresha Ustawi na Maendeleo Endelevu ya Watoto, Familia

Na Said Said WMJJWM, Dar Es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua Mkakati wa Jubilei wa World Vision Tanzania wa miaka mitano (2026–2030) unaolenga kuboresha ustawi na maendeleo endelevu ya…

Wananchi Kwimba wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel kwa ufadhili wa jengo la kisasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kwimb Wananchi Wilayani Kwimba na maeneo jirani, wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel (Doris Mollel Foundation) kwa kuleta mabadiliko makubwa katika wilaya hiyo, baada ya kufadhili na kusimamia ujenzi wa jengo la kisasa la Kimataifa la kuwahudumia…

JKCI, ABC Group kushirikiana kufikisha huduma za matibabu ya moyo kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na kampuni ya ABC Group inayojuhusisha na usambazaji wa vifaa vya ujenzi kufikisha huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo…

Naibu Waziri Dk Dugange awasili Kagera kwa ziara ya kikazi

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amewasili leo Februari 25, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi. Katika uwanja wa ndege huo, Dkt. Dugange amepokelewa na…