JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Mifugo, IUCN kuanzisha Jukwaa la Kitaifa la Biashara za Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Uasili (IUCN) kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wanatarajia kuanzisha Jukwaa la Kitaifa la Biashara za Uchumi wa Buluu litakalolenga kuongeza thamani ya rasilimali…

PDPC yawataka mabloga kulinda faragha ya wagombea wakati kampeni za uchaguzi 2025

Na Magrethy Katengu,Jamhuri Media , Dar es Salaam. Waandishi wa habari na mabloga wametakiwa kuelimisha jamii kuhusu sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi, ili kuzuia uvunjifu wa faragha na kuepusha madhara ya kisheria. Wito huo umetolewa Dar es Salaam Agosti…

Mwaijojele achukua fomu ya urais kupitia CCK, atilia mkazo maisha bora kwa wastaafu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Kijamii (CCK)David Daud Mwaijojele, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo leo Agosti 12, 2025, katika makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma, kujiandaa kuwania…

Wizara ya Ardhi yaendesha klinik maalkum kuongeza kasi ya umilikishaji

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha Klinik Maalum ya Ardhi kwa ajili ya kuongeza kasi ya umilikishaji ardhi katika maeneo ambayo mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki (LTIP) umetekelezwa. Hatua hiyo ya Wizara ya…

Serikali yazitaka NGOs kutoa huduma kwa uwazi kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) yametakiwa kuwa wazi na kuwajibika katika utekelezaji wa majukumu yao, hasa katika kutoa huduma kwa wananchi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Wito huo ulitolewa juzi na Naibu Waziri…

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru ampa kongole DED Mtipa kwa kutenga asilimia 10 kikamilifu

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Maswa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa kwa kutimiza maelekezo ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kutenga fedha…