Category: MCHANGANYIKO
Wadau wa jinsia wataka NAOT kufanya ukaguzi unaozingatia jicho la jinsia
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma MTANDAO wa Jinsia Tanzania(TGNP) umefanya kikao kazi cha kuwezesha Menejimenti ya Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (NAOT) kuzingatia masuala ya kijinsia wakati wa kufanya ukaguzi ili kuimarisha uelewa wa masuala ya Jinsia. Akizungumza November 28,2024 Jijini…
Polisi : Taarifa wagombea Katavi, Kigamboni ni za kutengeneza
Zipo taarifa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine inayoonyesha kutolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Roda Kunchela ikieleza kuwa, mgombea wa Mtaa wa Miembeni Kilimahewa kupitia CHADEMA, Nsajigwa Mwandembwa alikamatwa na Polisi akiwa nyumbani kwake. Aidha, ameeleza…
Rais Samia kufungua mkutano mkuu wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa 21 wa chama cha majaji na mahakimu wa Afrika Mashariki (EAMJA) unatarajiwa kufanyika jijini hapa kuanzia…





