JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Viongozi wanne hatiani kwa ubadhirifu fedha za urasimishaji makazi

Mnamo tarehe 05/07/2024 imetolewa hukumu ya kesi ya Jinai namba CC.386 /2024 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Gloria Nkwera, katika shauri lililoendeshwa na Mawakili Waandamizi wa Serikali – Veronica Chimwanda na Fatuma Waziri ambapo Ahmed Waziri Msika na wenzake watatu walitiwa…

Gavana Bwanku awashauri waganga wa jadi kujiepusha na ramli chonganishi

📍Bukoba, Kagera Aongozana na mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Kagera Chifu Nyarubamba, watendaji wa Kata, Polisi Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyoko Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Bwanku M Bwanku leo Jumamosi Julai 13, 2024 amefanya kikao na waganga…

RC Chalamila : Serikali itaweka utaratibu mzuri kwa wafanyabiashara Simu 2000

-Awakutanisha DART, Manispaa ya Ubungo na Wafanyabishara wadogo.-Aeleza dhamira ya Serikali kutekeleza mradi huo-Asisitiza bado Serikali itaendelea kujali na kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wadogo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert…

Rais Samia : Acheni kuvamia maeneo ya hifadhi

Na Happiness Shayo, KamhuriMedia, Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kuacha kuvunja sheria kwa kuvamia maeneo ya hifadhi na badala yake kutunza mazingira hayo. Kauli hiyo imekuja kutokana na maombi ya…

eGA yatoa wito kwa wananchi kutumia mfumo wa e-mrejesho

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Serikali Mtandao (eGA) imetoa wito kwa wananchi kutumia mfumo wa e-mrejesho katika kuwasiliana na serikali kutoa hoja zao ili iweze kuzifanyia kazi. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la eGA…