Category: MCHANGANYIKO
Wanawake kuwania kiti ya urais kupitia chama cha UMD, wachukua fomu
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa JacobsMwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya…
Maswi aitaka RITA kuendelea kuwekeza kidijitali ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, ameitaka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuendelea kuwekeza zaidi katika mifumo ya kisasa ya kidijitali ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi popote walipo….
Mkutano wa wakuu wa taasisi za umma kuchochea mageuzi na ushindani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuendeleza juhudi za Serikali kuhakikisha taasisi za umma zinakuwa sehemu hai ya uchumi wa kisasa, Ofisi ya Msajili wa Hazina imeandaa kikao kazi maalum ‘CEO Forum 2025’ kitakachowaleta pamoja Wenyeviti wa Bodi…
Viongozi na wananchi wajitokeza kwa wingi katika ibada ya kumuombea hayati Ndugai
Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi ya Wilaya ya Kongwa na wa nje ya Wilaya ya Kongwa wameshiriki ibada ya kuombea na kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Hayati Job Ndugai katika Kanisa…
Mwili wa hayati Ndugai wawasili Kanisa la Mtakatifu Machel, Dinali ya Kongwa
Mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Ndugai ukiwasili katika Kanisa la Anglikana- Mtakatifu Machael, Dinari ya Kongwa Wilayani Kongwa mkoani Dodoma tayari kwa Ibada ya kumuaga leo 11 Agosti, 2025. Ibada hii…