Category: MCHANGANYIKO
Samia: Watanzania msikubali kuchokozeka
Na Kulwa Karedia Jamhuri Media, Pemba MGOMBEA urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kutokubali kuchokozwa. Amesema wakichokozeka watahatarisha amani ya nchi kwa sababu ya uchaguzi jambo ambalo halina tija Dk. Samia ambaye pia ni Amiri…
Chande: Kiti cha dereva hakikaliwi hata gari likijaa, twendeni na Samia
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Mgombea ubunge Jimbo la Kojani, Hamad Chande amesema mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema Samia Suluhu Hassan amewafanyia mambo makubwa yakiwamo ya ujenzi wa Uwanja wa…
Fahad Soud ajinyakulia IST kupitia Simbanking ya CRDB
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKAZI wa Jiji la Tanga, Fahad Soud, ameibuka mshindi wa pili wa gari jipya aina ya IST kupitia kampeni ya Benki ya CRDB inayolenga kuhamasisha matumizi ya huduma za kidijitali, hususan SimBanking. Hafla…
TBS yajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya Serikali Awamu ya Sita
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limesema linajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita, likitaja mafanikio hayo kuwa ni pamoja na usogezeaji wa huduma kwa wananchi, uboreshaji wa maabara,…
Ubia Serikali, sekta binafsi nguzo kuu ya Dira 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa huku wakitaja kuwa kilimo bado ni sekta dhaifu kutokana na…





