Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko : Jenerali Musuguri ameacha alama ya uzalendo na kujitoa kwa ajili ya taifa
*Serikali itaenzi na kuthamini mchango wake *Asema Jenerali Musuguri alijitolea kuhakikisha Tanzania inabaki na amani na usalama *Asema alikuwa mstari wa mbele kuliokoa Taifa *Aiasa jamii kuacha alama katika maisha ya kila siku *Dkt. Biteko aongoza mamia ya watu…
PPRA yajivunia mafanikio kupitia NeST, yaokoa bilioni 14.94/-
Na Stella Aron, JamhuriMedia ,Dar es Salaam Jumla ya Taassi za ununuzi 21,851 zimesajiliwa na zinatumia mfumo wa kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST) ambapo bajeti ya ununuzi ya zaidi ya shilingi trilioni 38.6 imewekwa kwenye mfumo wa NeST kama…
Muigizaji Grace Mapunda ‘ Tesa’ azikwa Dar
Na Isri Mohamed Mwili wa muigizaji Grace Vicent Mapunda maarufu kwa jina la Tesa umezikwa leo Novemba 4, 2024 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Awali kabla ya mazishi mwili wake ulipewa heshima za mwisho katika hafla iliyofanyika…
Wizara ya Fedha yataka wafanyabiashara kukopa mikopo rasmi ili kukuza uchumi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI kupitia Wizara ya fedha imewataka wafanyabiashara kote nchini kukopa mikopo rasmi kwenye taasisi za kifedha zinazotambulika ambazo zitaleta unafuu wa riba na kuwa na faida kwenye uchumi wa mtu mmoja mmoja. Hayo yameelezwa leo November…
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme wa gridi Mtwara na Lindi – Kapinga
📌 Lengo ni kuimarisha upatikanaji wa umeme 📌 Fidia kulipwa kwa wanaopisha mradi Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inatekeleza mradi wa kuiunganisha Mikoa ya Mtwara na Lindi na umeme wa gridi kutokea Songea kwa kupitia njia ya…
Mkuu wa Majeshi awasili Mara kushiriki mazishi ya marehemu Jenerali Msuguri
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amewasili nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri wilayani Butiama Mkoani Mara tarehe 03 Novemba 2024 kwa ajili ya kutoa salamu za pole kwa wafiwa na kukagua maandalizi…





