Category: MCHANGANYIKO
TUCTA yaipongeza Serikali kuongeza kiwango cha kikokotoo
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limeipongeza Serikali kwa kuongeza kiwango cha malipo ya mkupuo ya Pensheni kwa Wastaafu kutoka asilimia 33 ya sasa mpaka 40 kwa wafanyakazi waliokuwa wanapokea asilimia 50 kabla ya mifuko kuunganishwa na asilimia 35…
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji mazishi ya Tixon Nzunda Songwe
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, leo ameongoza maelfu ya waombolezaji wakiwemo viongozi na wananchi kutoka maeneo mnalimbali nchini, walioshiriki mazishi ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon Nzunda, yaliyofanyika huko…
TANESCO yawezesha kuanza kwa ujenzi wa tuta la mto Lumemo
Na Shamu Lameck, JamhuriMedia, Ifakara Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa tuta la kuzuia maji ya mto lumemo uliopo kwenye Halmashauri ya mji wa Ifakara mkoani Morogoro. Akizungumza Juni 15,2024 Mkuu wa Wilaya ya Kilombero…
Zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura lasogezwa hadi Julai 20, 2024
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kusogezwa mbele kwa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura hadi tarehe 20 Julai, 2024 badala ya tarehe 01 Julai, 2024 iliyopangwa hapo awali….
Serikali yaondoa hofu ya umeme kutofika vitongoji vyote nchini
π Kapinga asema vitongoji vyote vitasambaziwa umeme π Vituo vya kupoza umeme kujengwa Kilosa, Mbinga na Hanang π Vitongoji 33,000 vyafikiwa na huduma ya umeme π Wakandarasi kuendelea kusimamiwa kwa weledi Na Mwandisho Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati,…