Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia ametoa kipaumbele wa Serikali za Mitaa kuchochea maendeleo- Mchengerwa
OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuweka mkazo katika kuimarisha serikali za mitaa kama chachu ya maendeleo ya wananchi kwa kuongeza rasilimali, kuboresha mifumo ya utendaji,…
‘Uvuvi ni Utajiri’
*Mapato ya mazao ya uvuvi yaongezeka maradufu ndani ya mwaka mmoja wa utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wavuvi boti za kisasa Na Joe Beda, JamhuriMedia, Pangani Ni siku ya Jumatano, Februari 26, 2025 nipo jijini Tanga. Mji umechangamka kwelikweli. Kisa?…
RITA kuwanoa wajumbe bodi, taasisi za wadhamini Mkoa wa Dar es Salaam kesho
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeandaa mafunzo/mkutano maalum kwa Wajumbe wote wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi zilizosajiliwa RITA zilizopo Dar es Salaam yakayofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Kumbumbuku ya…





