JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mkuu anadi vivutio vya utalii, uwekezaji

▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025 ▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia sh bilioni 37 ▪️Asisitiza Tanzania ni mahali salama kwa uwekezaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano wa Tanzania na Japan…

Kabila : Kongo inaendeshwa kidikteta

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amesema anapanga hivi karibuni kutembelea mji wa Goma uliodhibitiwa na waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wa M23. Kabila aliitaja serikali ya sasa ya Kongo kuwa ya kidikteta baada ya…

Mavunde : Masoko na vituo vya ununuzi wa madini vyaongezeka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Madini, Athony Mavunde amesema kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwaka 2019, Masoko na Vituo vya Ununuzi vimeongezeka kutoka 42 na 100 mwaka 2020/2021 hadi kufikia 43 na 109 mwaka…

Programu ya MBT kutatua changamoto na kuboresha fursa kwa wanawake – Mavunde

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Madini imekamilisha maandalizi ya program ya MBT ambayo itatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2025 hadi 2030. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema kuwa Programu hii ni ya kimageuzi…

Miaka minne ya Serikali Awamu ya Sita, pato la taifa sekta ya madini lakua

Na Mwandisi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita, mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa umeendelea kuimarika na kukua kutoka asilimia 7.3 mwaka 2021, asilimia 9.1 mwaka 2023…

Wizara ya Madini yafanikiwa kuzima jaribio la usafirishaji haramu almasi

 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imefanikiwa kuzuia jaribio la kusafirisha kinyume cha sheria madini ya almasi yenye thamani ya dola za Marekani 635,847.66, sawa na takriban shilingi bilioni 1.7, kupitia Uwanja wa Ndege…