JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Silaa afunga ofisi ya masijala ya ardhi Jiji la Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amefunga Masijala ya Ardhi ya Jiji la Dodoma ikiwa ni hatua ya wizara yake kuondoa changamoto za sekta ya ardhi katika jiji la Dodoma….

Upotoshaji wa vivuko Kigamboni una maslahi binafsi – Bashungwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu wananchi wa mkoa wa Dar es salaam wanaotumia usafiri wa vivuko eneo la Kigamboni -Magogoni juu ya taharuki kuhusu huduma inayotolewa na Wakala wa Ufundi na…

Serikali wilayani Nkasi yaishukuru Kanisa la TAG Namanyere kwa kuchangia ujenzi wa shule

Na Israel Mwaisaka, JamhuriMedia, Nkasi SERIKALI wilayani Nkasi imelishukuru kanisa la Assemblies of God (TAG) la mjini Namanyere kwa msaada wa mifuko 10 ya Cementi iliyoitoa kwa ajili ya kuikarabati shule ya msingi Nkomolo ambayo inaitaji ukarabati mkubwa baada ya…

Swahiba wa Nyerere apongeza uongozi wa Samia akitimiza miaka 99

Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Jumamosi, Mei 25, 2024. Balozi Nchimbi alikwenda nyumbani kwa Mzee Songambele Mwananyamala jijini Dar es Salaam kumfikishia salam za pongezi kutoka…

Wanne wakamatwa wakisafirisha punda 46 nje ya nchi

Na.Abel Paul,Jeshi la Polisi- Longido Arusha Jeshi la Polisi kikiosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne pamoja na mifugo aina ya…