JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Yonazi aipongeza Muhimbili kupeleka msaada wa msaikolojia tiba,dawa na vifaa Hanang

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kupeleka msaada wa dawa, vifaa tiba pamoja Msaikolojia Tiba kwa wananchi wa Mji mdogo wa Katesh Wilayani Hanang, Mkoani manyara…

Rais Samia asikia kilio cha wakazi Usimba

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kaliua RAIS wa Awamu ya Sita Dk Samia Suluhu Hassan amesikia kilio cha ukosefu wa shule ya msingi kwa wakazi wa Kijiji cha Magele kata ya Usimba Wilayani Kaliua kwa kuamua kuwapelekea zaidi ya sh mil…

Serikali yaboresha miundombinu ya elimu, afya Manispaa Kigoma/ Ujiji

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kigoma SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepeleka zaidi ya sh bil 8 katika halmashauri ya manispaa Kigoma-Ujiji ili kuboreshwa miundombinu ya elimu na afya. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji…

Karakama ATCL yapunguza gharama za matengenezo ya ndege

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile akitoa maelekezo kwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) wakati alipotembelea karakana ya ndege inayomilikiwa na Shirika hilo iliyopo katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro Mkoani Kilimanjaro. Serikali imesema uwepo wa…

Benki ya NMB yasaidia waathirika wa mafuriko Hanang

Waathirika wa mafuriko Wilayani Hanang, Mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya NMB. Misaada hiyo inajumuisha magodoro, vyakula na vifaa vingine, ikiwa lengo ni kutoa msaada muhimu baada ya janga hilo….