Category: MCHANGANYIKO
Tume ya Madini yatoa bei mpya madini ya vito
TUME ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini, imekutana na wadau wa madini ikiwemo Wathaminishaji wa Madini, Wachimbaji Wadogo na Wanunuzi ili kupanga bei elekezi ya madini ya vito. Akizungumza jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Ukaguzi na Biashara…
Mkuu wa Majeshi awavisha nishani maafisa wa JWTZ Kanda ya Songea
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali, Maafisa na Askari wa JWTZ Kanda ya Songea. Miongoni mwa waliovishwa…
DC Mwanga : Wanawake wanapaswa kujiamini na kuitumikia jamii kwa haki
Na Ashrack Miraji JumhuriMedia, Mwanga Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, Mwanahamis Munkunda, amewataka wanawake, hususan vijana, kutumia nafasi wanazozipata kwenye taasisi mbalimbali kwa kujituma na kutoa huduma bora kwa wananchi. Akizungumza katika maandalizi ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa…





