JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wanakwaya saba wafariki, 75 wajeruhiwa katika ajali mbili tofauti Same

Na Ashrack Miraji, JamhiriMedia, Same Watu saba wamefariki dunia na wengine 75 wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea wilayani Same. Ajali ya kwanza ilitokea majira ya saa saba usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya Njoro na kuhusisha basi la…

CCM yampa Peter Msigwa jukumu la kupigania ushindi Kanda ya Ziwa

Na Mwandishi Wetu Mchungaji Peter Msigwa, ambaye awali alihusishwa na tetesi za kurejea chama chake cha awali, Chadema, amepewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) jukumu muhimu la kupigania ushindi wa chama hicho katika Kanda ya Nyasa. Akihutubia maelfu ya wanachama…

Akiba Commercial Bank Plc yaweka tabasamu Kituo cha Kulea Watoto- Chakuwama Sinza

Na Magrethy Katengu-Jamhuri MediaDar es Salaam Akiba Commercial Bank Plc imeguswa kuendelea kuunga Mkono jamii kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika kituo cha kuelelea Watoto Yatima kilichopo Sinza Dar es salaam. Amebainisha hayo Machi 28,2025 Dar es salaam Bi…

Mara waridhishwa utekelezaji miradi ya REA

📌 Wamshukuru Rais Samia kwa kupunguza gharama za umeme 📌 Elimu kuhusu matumizi bora ya nishati yatolewa 📌 Watakiwa kuchangamkia fursa ya kuunganisha umeme Wananchi mkoani Mara wamesisitiza kuridhishwa na utekelezaji miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inayotekelezwa nchini…

Balozi Meja Jenerali Ibuge afunga za Uongozi Waandamizi wa Amani na Makamanda Wanawake JWTZ Dar

Na Magrethy Katengu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC), Balozi Meja Jenerali Wilbert Ibuge amefunga kozi ya Kuwaendeleza Makamanda Wanawake wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kozi ya Uongozi kwa viongozi waandamizi wa…