JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bilioni 28/- kujenga kituo cha upandikizaji figo Tanzania

*Ni kikubwa katika Ukanda wa Jangwa la Sahala *Pia itatumika katika kutoa mafunzo kwa madaktari bingwa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa hati ya makubaliano ya ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo pamoja na utoaji mafunzo kwa…

Mradi magonjwa ya moyo kusaidia watoto wachanga

Na Mwandishi Wetu Mradi wa kituo cha umahiri wa magonjwa ya moyo na mishipa ya damu utasaidia kuwapa huduma watoto wachanga wenye changamoto ya upumuaji. Mradi huo unatekelezwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( MUHAS )…

USCAF yaingia mikataba, kufikisha huduma za mawasiliano vijiji 5,111, minara 2,152 kujengwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Mhandisi Peter Mwasalyanda, amesema mfuko huo umeingia mikataba ya kufikisha huduma za mawasiliano katika kata 1,974 zenye vijiji 5,111 na wakazi wapatao 29,154,440. Kupitia…

Ngorongoro yalemewa

*Majengo ya mamilioni yatelekezwa, yageuka magofu *Askari Uhifadhi walala vichakani mithili ya digidigi *Ukata wasababisha ujangili kuibuka upya Pololeti, Serengeti *Nyamapori zauzwa nje nje migahawani Loliondo Na Mwandihi Wetu, JamhuriMedia, Loliondo Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) ambayo…