Category: MCHANGANYIKO
Waaswa kuendelea kuchukua tahadhari kujikinga na Marburg
Na Elimu ya Afya kwa Umma Jamii imeaswa kuendelea kuchukua tahadhari za kujikinga na Magonjwa ya mlipuko ikiwemo Marburg. Hayo yamebainishwa na Afisa Lishe kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo Mkoani Kagera Bi.Domina Jeremiah wakati akitoa elimu ya Afya katika…
Watu 700 wachunguzwa moyo Arusha
Watu 700 wamepata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika maonyesho ya kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake yaliyofanyika jijini Arusha. Huduma hizo zilitolewa kwa muda wa siku saba katika viwanja vya TBA Kaloleni na wataalamu wanawake wa magonjwa…





