JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Shaka: SGR imechochea biashara na ukuaji wa maendeleo Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amesema uimara wa Rais Samia Suluhu Hassan katika uongozi wake ni wenye matokeo chanya unaojali kesho ya nchi yetu (vizazi vya leo na kesho) kwa kukamilisha mradi…

Dira 2050 yataja changamoto saba mazingira ya biashara

Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 imetaja changamoto saba za mazingira wezeshi ya biashara na uwekezaji nchini. Imetaja changamoto hizo ni pamoja na gharama kubwa katika mchakato wa uwekezaji zikiwamo kodi na tozo na muda wa kuanza biashara….

Kikwete ashauri mbinu za kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye kilimo

Addis Ababa, Februari 13, 2025 – Rais Mstaafu Dkt. Jakaya mrisho Kikwete ameungana na viongozi mbalimbali wa Afrika katika kongamano la kimataifa kuhusu umwagiliaji na uzalishaji wa kilimo himilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi, lililofanyika siku ya Jumatano mjini Addis…

Tanzania yatumia Wiki ya Nishati India kunadi vitalu vyamafuta na gesi asili

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Tanzania (PURA) imeendelea kuhamasisha wawekezaji mbalimbali duniani kushiriki katika Duru ya Tano ya Kunadi Vitalu vya utafutaji wa Mafuta na…

Majaliwa aitaka TARURA kuwasimamia wakandarasi binafsi

▪️Asisitiza Serikali itaendelea kuwawezesha wawekezaji wazawa* *▪️Aeleza mpango wa Serikali wa kukabiliana na ugonjwa wa Malaria nchini* Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wakala wa Brabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ihakilishe inatoa kandarasi za ujenzi na ukarabati wa barabara kwa…

TMA : Kuna ongezeko la joto kwa baadhi ya maeneo nchini

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kumekuwepo na ongezeko la joto katika baadhi ya maeneo nchini hususan yapatayo misimu miwili ya mvua kwa mwaka kwa miezi ya hivi karibuni. Hali hii imesababishwa na kusogea kwa jua la utosi…