Category: MCHANGANYIKO
Samia aahidi mageuzi sekta ya kodi
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kufanya mageuzi ya kodi mbalimbali endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza tena nchi.Amesema tume ya kukosa maoni kuhusu masuala ya kodi imekamilisha mchakato wake.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati…
Samia: Vyombo vya ulinzi vimejipanga
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vizuri wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa majimbo Kivule, Segerea, Ukonga…
Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini akimbilia CCM
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mjumbe wa Kamati Kuu, Abeid Mayala amejiondoa kwenye chama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mayala amejiunga na CCM wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea urais wa chama,Samia Suluhu Hassan kwenye…
Tanzania kubeba sauti ya Afrika COP30, Nishati Safi yapewa kipaumbele
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma TANZANIA kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba sauti ya pamoja ya vipaumbele vya Bara la Afrika wakati wa Mkutano wa 30 wa…





