JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Sura mpya 10 zaibuka kidedea ubunge CCM Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora KURA za maoni kwa watia nia wa ubunge na udiwani ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata na Majimbo yote ya uchaguzi hapa nchini zimehitimishwa jana na kushuhudiwa damu mpya zikipenya katika uchaguzi huo….

EWURA CCC yapongezwa, yaelekezwa kuimarisha huduma vijijini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, leo Agosti 5, 2025 ametembelea banda la Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) katika Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni…

Benki ya Coop yatoa bilioni 8.5/- kwa vijana

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma BENKI ya Ushirika (Coop Benki), kwa kushirikiana na Mfuko wa Pembejeo wa Kilimo (AGITIF), imetoa mkopo wa Shilingi bilioni 8.5 kwa wakulima kupitia vyama vya ushirika, ikiwa ni hatua ya kuchochea kilimo chenye tija na…

Barabara za TARURA kufungua fursa kwa wakulima na wafugaji

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwa kiungo muhimu katika kuwawezesha wakulima na wafugaji kufanikisha shughuli zao za kiuchumi kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara inayowaunganisha…

CPA Subira Mgalu amuangusha Mkenge Bagamoyo, apata kura 3,544

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katika zoezi la kupiga kura za maoni kwa ajili ya kumpata mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo , kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),aliyekuwa Mbunge viti maalum mkoani Pwani, CPA Subira Mgalu ameongoza kwa kupata…