Category: MCHANGANYIKO
NIRC yakamilisha uchimbaji visima mashamba ya BBT Ndogoye na Chinangali
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imekamilisha zoezi la uchimbaji wa visima katika shamba la Ndogowe na Chinangali lililoko chini ya Mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (BBT), kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha Umwagiliaji. Akizungumza Kaimu…
Waziri Mkuu : Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi ya nishati safi ya kupikia
šAipongeza REA Kwa Kusimamia vyema utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi na Usambazaji umeme Vijijini šAwasisitiza Watanzania kushiriki Kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia Ataja faida za kutumia Nishati Safi ya Kupikia Asema Serikali itaendelea kuwezesha…
Vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 vyapatiwa huduma ya umeme Kilimanjaro
šVijiji vyote 519 vimepata huduma ya umeme Kilimanjaro šBilioni 32.7 yawezesha utekelezaji miradi ya REA Kilimanjaro šKilimanjaro Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia…
Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Kanali Mstaafu Kembo Mohadi awasili nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Mheshimiwa Kanali Mstaafu Kembo Campbell Mohadi amewasili nchini Agosti 30. 2025 kwa ziara ya kazi ya siku mbili hadi Agosti 31 2025 kwa mwaliko wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Mgombea urais kupitia CCM akiwa katika mkutano wa hadhara Kilosa
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan aliposhiriki Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu na Wananchi wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro waliofurika katika Uwanja wa Kilosa Mjini…
NACTVET yatoa ithibati kwa program tano za CBE
Na Mwandishi Wetu BARAZA la Taifa la Elimu na Ufundi Stadi (NACTVET), limezipatia Ithibati Program mpya tano za Chuo cha Elimu ya Biashara CBE kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa Bodi ya Uongozi…





