Category: MCHANGANYIKO
Mtwara wanadanganywa, maadui wanajipenyeza
Nilidhani nimeandika kiasi cha kutosha katika mada hii, lakini kutokana na msukumo wa wasomaji wa safu hii, na watazamaji wa kipindi cha ‘Jicho la Habari’ kupitia Star TV, nilichoshiriki Jumamosi iliyopita, nimelazimika kuandika tena juu ya mada hii.
Tanzania haiwaamini makocha wa kigeni
Hivi sasa watu duniani wanaonekana kupenda mchezo wa soka zaidi kuliko michezo mingine, na mezzo huo umekuwa ukiongeza ajira kwa vijana kila kukicha.
Yah: Tuliangalie sakata la elimu kwa sasa [2]
Wiki jana nilizungumzia juu ya elimu ya kambo wakati nikihitimisha barua yangu. Nilijaribu kuangalia tofauti za elimu ya sasa na ya zamani japokuwa hazipaswi kufananishwa kutokana na mitaala na manufaa baada ya masomo. Sisi tulifundishwa kujitambua na kujitegemea na ninyi kwa sasa mnafundishwa kutegemea na kutojitambua.
Dk. Mwakyembe fahamu tumeshindwa reli, ndege makusudi
Wiki iliyopita Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe alisoma mipango lukuki katika bajeti ya Wizara ya Uchukuzi. Sitataja takwimu maana hizo kila awaye amezisikia. Sifurahi kutaja hata kiasi cha fedha zilizotengwa maana siku hizi namba zinatajwa bungeni, katika utekelezaji inakuwa sifuri.
Migogoro imeiua Simba msimu huu
Hatimaye Mashindano ya Ligi Kuu ya Vodaco Tanzania Bara yamemalizika huku Klabu ya Simba ikiambulia kushika nafasi ya tatu, huku mtani wao wa jadi, Yanga ikitwaa ubingwa wa ligi hiyo, ikifuatiwa Azam FC iliyoshika nafasi ya pili.
Mwalimu Nyerere na usawa katika jamii
Taifa letu kwa sasa linapita kwenye misukosuko ya udini, ukabila, ukanda na utegemezi. Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, hakusita kamwe kukemea kwa nguvu zote utengano huo, na kusisitiza nchi kujitegemea.