Category: MCHANGANYIKO
Elimu na uokozi kuzuia kuzama majini, SMZ, WHO NA UNICEF waunganisha nguvu Z’bar
Na Fauzia Mussa, JamhuriMedia, Zanzibar KAMISHENI ya kukabiliana maafa Zanzibar imehimizwa kuwa na Mipango madhubuti ya kupambana na majanga yatokanayo na kuzama majini kwa kutoa elimu kwa jamii, kuimarisha mifumo ya uokozi, na kuhimiza usalama wa maji. Kauli hiyo imetolewa…
Kaliua yanunua mtambo wa kutengeneza barabara
Na Mwandishi Wetu KATIKA kutekeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wa kuhakikisha barabara za mijini na vijijini vinapitika wakati wote, Wilaya ya Kaliua imetekeleza mkakati huo kwa vitendo. Katika kuthibitisha hilo,…
Tanzania yaunga mkono uhuru wa chakula katika mkutano wa UNFSS+4 jijini Addis Ababa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa ngazi ya Mawaziri uliofanyika tarehe 29 Julai 2025, jijini Addis Ababa, Ethiopia, uliokuwa sehemu ya Mkutano wa Pili…
Wabunge 27 ambao hawakuteuliwa kugombea kura za maoni
Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa nafasi za Ubunge wa Majimbo, Viti Maalum na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi. CPA…