Category: MCHANGANYIKO
Bandari ya Bagamoyo itumike kumuenzi JPM
BAGAMOYO Na Mwandishi Wetu Kwa kiasi kikubwa nguzo za uchumi wa Kenya, mbali na utalii, ni kupakana kwa taifa hilo na Bahari ya Hindi na kuifanya Bandari ya Mombasa kuwa lango kuu la biashara kimataifa. Miezi michache iliyopita, Rais Uhuru…
La Stendi ya Magufuli Makalla umekosea
Na Joe Beda Rupia Amos Gabriel Makalla. Jina hili si geni kwa wengi. Huyu si mgeni katika nyanja za uongozi. Wala si mgeni hata kidogo katika siasa. Kwa miaka mingi tu sasa amekuwa akisikika, kwanza katika viunga vya Ofisi Ndogo…
Msungu: Jamani ni sanaa tu!
DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Msanii wa filamu nchini, Stanley Msungu, amewatoa hofu mashabiki wake akisema kinachoonekana jukwaani si maisha yake halisi. Akizungumza na JAMHURI jijini hapa, Msungu anasema kumekuwa na shaka miongoni mwa mashabiki wa filamu wakihisi kwamba…
MOI yafundisha wataalamu zaidi wa upasuaji ubongo kupitia pua
*Mgonjwa hupona kwa muda mfupi *Bima ya Afya ni suluhu upatikanaji huduma za kibingwa DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI) imepiga hatua nyingine kwenye maboresho ya miundombinu na vifaa vya kisasa katika upasuaji wa ubongo…
Uwazi kikwazo sekta ya madini
LINDI Na Christopher Lilai Moja ya mambo yaliyosababisha kuwapo kwa vurugu za kuzuia mradi wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam miaka kadhaa iliyopita ni kukosekana kwa uwazi. Mwanzoni, wananchi wengi hawakuielewa kiundani dhima ya…
WADUNGUAJI HATARI KUMI ‘Shetani’ Chris Kyle (8)
Katika mfululizo wa makala hizi za kuangalia wadunguaji, leo tutamzungumzia mtu mwingine ambaye naye alikuwa mwanajeshi. Moja ya madhila aliyokutana nayo ni yeye pia kulengwa na wadunguaji wengine wa upande wa maadui zao. Alikuwa ni mwanajeshi katika jeshi la Marekani…