JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Karakama ATCL yapunguza gharama za matengenezo ya ndege

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi David Kihenzile akitoa maelekezo kwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) wakati alipotembelea karakana ya ndege inayomilikiwa na Shirika hilo iliyopo katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro Mkoani Kilimanjaro. Serikali imesema uwepo wa…

Benki ya NMB yasaidia waathirika wa mafuriko Hanang

Waathirika wa mafuriko Wilayani Hanang, Mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya NMB. Misaada hiyo inajumuisha magodoro, vyakula na vifaa vingine, ikiwa lengo ni kutoa msaada muhimu baada ya janga hilo….

Makamanda 1267 waendelea kutafuta miili Hanan’g, misaada yote kuelekezwa Ofisi ya Waziri Mkuu

Na Mary Margwe, JamhuriMedia,Hanan’g Jumla ya makamanda wapatao 1267 wanaendelea na shughuli mbalimbali katika eneo la wahanga wa maporomoko ya udongo yaliyotokea Novemba 3,2023 huko wilayani Hanang, ambapo kufuatia zoezi linaloendelea wamefanikiwa kuipata miili mingine miwili na kuweka jumla ya…

Hospitali Tumbi ina uhitaji wa damu lita 200, tukachangie kuokoa maisha ya wenye uhitaji -Gemela

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani KITENGO cha damu salama Tumbi, hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, inatumia chupa 15 kwa siku sawa na chupa 450 za damu kwa mwezi ,hivyo uhitaji wa lita 200 ili kukidhi mahitaji. Kuelekea siku…

Serikali kupitia MSD kanda ya Dar es Salaam yasambaza vifaa tiba kwa vituo vya afya 23

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD), Kanda ya Dar es Salaam imesambaza vifaa tiba vya zaidi ya sh. milioni 930 kwa ajili ya vituo vya afya 23 vya Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga. Akizungumza jana wilayani…

Prof Mkenda : Walimu wakuu kuweni makini na zawadi, misaada inayotolewa mashirika shuleni

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Elimu ,Prof.Adolf Mkenda ametoa rai kwa walimu wakuu nchini kuwa makini na mashirika binafsi , Taasisi zisizo za Kiserikali zinazokwenda kwenye shule zao kutoa misaada ikiwemo miswaki, vidonge kwa wanafunzi ili kuondokana na…