Category: MCHANGANYIKO
Yah: Watanzania ndio waajiri wa hao wenye mbwembwe
Wiki jana, niliandika makala niliyojaribu kupendekeza kiongozi tunayemhitaji, na niliahidi kuwa mmoja wa wagombea katika nafasi ya ubunge kama nitajiridhisha kuwa suala la kuchafuana kwa maneno halipo tena.
Jumatano ya Bayern Munich vs Arsenal
Mchuano wa Bayern Munich ya Ujerumani na Arsenal ya Uingereza uliofanyika Jumatano ya Machi 13, mwaka huu, umeacha kumbukumbu ya pekee katika tasnia ya soka duniani.
Ras Inno: Nimedhamiria kufufua muziki wa reggae
Dhana kwamba muziki wa reggae umepigwa kumbo hapa Tanzania na kudorora, ikilinganishwa na aina nyingine za muziki, imepingwa na kupatiwa majibu ya kuupenyeza muziki huo kwa mashabiki wake kwa kuurudishia mashiko kama ilivyokuwa zamani.
King Majuto aalikwa Rwanda
Msanii maarufu wa maigizo ya runinga nchini, Amri Athumani (65), maarufu King Majuto amealikwa nchini Rwanda.
Barcelona, Milan hapatoshi
Hatimaye timu maarufu ya Barcelona, leo inashuka dimbani kupepetana na timu ngumu ya nchini Italia – AC Milan, katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA).
Yah: Kwanini mtu achukiwe kiuongozi?
Nakumbuka mwaka 1995 niliingia katika kinyang’anyiro cha ubunge, lakini katu sitataja jimbo husika kwa sababu za kiusalama, na nimeamua kugombea tena mwaka 2015 insha’allah Mwenyezi Mungu akinipa uhai na afya njema.