JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Chalamila awaasa madaktari bingwa wa Samia kufanya tafiti za magonjwa

Na WAF – DSM Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameiasa timu ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia wapatao 35 kuja na majibu ya kitafiti kutoka kwa wagonjwa watakayokuna nayo wakati wa kambi ya siku sita ili…

‘Mwenge wa Uhuru unaitangazia dunia kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni imara’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Tanzania inapeleka Mwenge wa Uhuru juu ya mlima Kilimanjaro ili kuitangazia dunia kuwa Muungano wa Tanganyika na…

REA yapeleka umeme vitongoji 120 Kigoma

*Rais Samia ametoa shilingi bilioni 14 kutekeleza mradi huo. *Mradi kupeleka umeme katika vitongoji 15 kwa kila jimbo na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye majimbo 15 ya Mkoa wa…

Wizara ya Madini yabainisha mikakati yake kwa wachimbaji

*Mkakati wa kuwaendeleza na kuwasogezea huduma za Ugani mkoani Dodoma *Mkakati wa kuwapatia maeneo mapya yaliyofanyiwa utafiti wa kina *Mkakati wa kujenga Maabara mpya ya kisasa mkoani Dodoma Na Samwel Mtuwa, Dodoma Imeelezwa kwamba katika kuendeleza shughuli za uchimbaji mdogo…

Madereva wanaotumia lugha chechefu kwa abiria waonywa,

. Na Abel Paul, Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini limewataka madereva kufuata sheria za Usalama Barabarani ambapo limewataka madereva hao kutoa lugha nzuri na rafiki kwa abiria Pamoja na kuongea nao kabla ya…