Category: MCHANGANYIKO
Viongozi wa dini Tanga washauri kuliombea taifa
Na Mwandishi Wetu, JanhuriMedia, Tanga Viongozi wa dini mkoani Tanga wameishauri serikali kuweka siku maalum ya kuliombea taifa wakati huu kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili taifa liendelee kubaki salama. Ombi hilo wamelitoa mbele ya Mkuu wa Mkoa wa…
Ismail Jussa aanza ziara Chaani Kaskazini Unguja
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa leo Oktoba 19 ameanza ziara katika Jimbo la Chaani Mkoa wa Kaskazini Unguja. Ziara hiyo ni mpango wa kutembelea majimbo 50 kupitia mkakati maalumu wa kuweka mazingira bora kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025.
Hakimu aeleza kwanini Fatma Kigondo ‘Afande’ kutoshtakiwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imekataa ombi la kusaini malalamiko yaliyotolewa na Paul Kisabo dhidi ya Fatma Kigondo, maarufu kama Afande, baada ya kubaini kasoro kadhaa katika malalamiko hayo. Uamuzi huu ulitolewa jana na unamaanisha…
SADC lamuunga mkono Rais wa IPU Dk Tulia
JUKWAA la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) limemuunga mkono Rais wa Umoja wa Mabunge ya Muungano (IPU), Dk Tulia Ackson kufuatia mijadala ya hivi karibuni kuhusu mkutano wake na Rais wa Urusi.Jukwaa la Wabunge, Roger Mancienne,…
Saccos ya Tume ya Madini yapata hati ya kuridhisha
COASCO yawafunda wanachama Na Vicky Kimaro, Dodoma TUME ya Madini Saccos imepata hati inayoridhisha katika ukaguzi wa Hesabu za Chama zinazoishia Desemba 31, 2023 baada ya kufanyiwa ukaguzi na Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) Tanzania…
Wabunge wa EALA watakiwa kuweka maslahi ya umma mbele – Balozi Kombo
Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wamesisitizwa kuyabeba majukumu waliyopewa kwa uzito unaostahili, huku wakiweka mbele maslahi ya umma wakati wanatekeleza majukumu yao. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…





