JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madaktari bingwa 40 kutoa huduma hospitali zote za Halmashauri Ruvuma kwa siku tano

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Songea Huduma za mkoba za madaktari bingwa zinatarajia kuanza kutolewa katika hospitali za Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kuanzia Mei 6 hadi 10 mwaka huu. Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk Louis Chomboko amesema…

Mradi wa maji Kimanzichana Mkuranga kunufaisha wakazi zaidi ya 20,000

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Godfrey Mzava, Mei 4 Mwaka 2024 ,ameweka jiwe la msingi mradi wa maji Kimanzichana, wilayani Mkuranga, uliogharimu sh.bilioni 5.2 ambao utanufaisha zaidi ya watu 20,000 na kusimamiwa na…

Kimbunga Hidaya chapoteza nguvu wakati kikingia Bahari ya Hindi

Aidha, mawingu ya mvua yaliyokuwa yakiambatana na kimbunga hicho yamesambaa katika maeneo ya kusini mwa nchi hususan katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani na maeneo jirani na kuweza kusababisha vipindi vya mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo. Kwa mafano hadi…

Tanzania yapendekeza kuanzishwa kwa vituo viwili vya umahiri kwa nchi za Afrika Mashariki

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa mapendekezo kwa Baraza la Mawaziri wa Kisekta wa Afya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) lipitishe maombi ya Tanzania kuanzisha vituo viwili vya umahiri kwa Afrika Mashariki vitakavyotoa huduma za Afya ya Kinywa na…

Kamati ya Bunge yaimwagia sifa NIRC kutekeleza vizuri miradi ya umwagiliaji

Yampongeza Mkurugenzi Mkuu Mndolwa, yamtia moyo achape kazi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Kilimo, imeipongeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kwa kazi kubwa inayoifanya katika kufanikisha Kilimo…

Spika awataka wandishi wa habari kuelimisha jamii kuhusu athari za mabadiliko tabianchi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SPIKA wa Bunge ambaye Pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) Tulia Akson ametoa rai kwa Waandishi wa Habari nchini kuielimisha Jamii kuhusiana na mabadiliko ya Tabianchi kutokana na kuwepo kwa athari mbalimbali zilizotokana na mafuriko….