Category: MCHANGANYIKO
Wambura: Uongozi mbovu unaua soka Tanzania
Mdau maarufu wa soka nchini, Michael Wambura (pichani kulia), amekosoa soka la Tanzania kwamba linadumazwa na uongozi mbovu.
Yah: Sasa naomba nimchague rais
Nianze kwa kuomba radhi kwa kutoonekana wiki jana kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nia ni moja na tuko pamoja katika kufanikisha mambo muhimu kwa jamii yetu iliyoparaganyika kimaadili, kisiasa na kiuchumi.
Nchi ya usingizi na wapiga soga
Anaweza kuwa na upungufu wake, lakini ni ukweli kwamba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ni mmoja wa viongozi wenye uamuzi na mbinu zinazoleta nuru ya kuwapo mabadiliko katika utendaji kazi miongoni mwa watumishi wa umma.
FASIHI FASAHA
Kuchinja nyama ni sababu ya kufarakana?
Sikilizeni maneno, wasanii tunayosema, jiepusheni navyo vitendo vitakavyotutenganisha, kufarakana, kuchukiana kumeshaanza, kukamiana kutukanana sasa ni sera, Watanzania kuweni macho, Taifa linakwenda pabaya tutakuja jijutia.
FIKRA YA HEKIMA
Wengine waige Vodacom kuwajali wafanyakazi
Kampuni ya Vodacom Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa, katika uwasilishaji wa makato ya fedha za wafanyakazi wake kwenye Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Bunge linataka kumpoka Mungu madaraka
Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa ya Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila ya Februari 13, 2013 kuwa Bunge linakusudia kuzuia urushaji wa matangazo ya moja kwa moja (live) ya redio na televisheni kutoka bungeni. Dk. Kashilila amesema ni kosa pia kuwapiga picha wabunge wakiwa wamesinzia bungeni.