Category: MCHANGANYIKO
RC Chalamila aridhishwa na ujenzi wa shule ya sekondari ya Mvuti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 20, 2023 amefanya ziara kukagua ujenzi wa shule ya sekondari Mvuti iliyopo kata ya Msongola-Ilala na kupongeza ujenzi huo wa kisasa. Mhe….
Chalamila apokea msaada wenye thamani ya mil. 137/- Ocean Road
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 19, 2023 amepokea msaada wa vifaa tiba vya thamani ya Milioni 137 kutoka katika Familia ya GSM vifaa tiba ambavyo vimeelekezwa katika Taasisi ya ocean road jijini Dar es…
Wanawake Afrika wampa tuzo ya heshima Balozi Getrude Mongela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wito umetolewa kwa Wanawake kujiamini na kujipambanua kitaifa na kimataifa kwenye kusimamia ajenda za maendeleo yenye usawa wa kijinsia na kupinga ukatili wa kijinsia na kwa watoto. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi…
Watatu wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa kwa kosa la mauaji
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Iringa. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewahukumu watu watatu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia na wawili miaka mitatu kwa kosa la kushiriki katika mauaji. Katika hukumu iliyotolewa mbele ya Jaji A.E….
Ziara ya Dk Biteko mikoa ya Lindi, Mtwara yaacha alama
📌Aagiza kituo cha Polisi, Afya, Taa za Barabarani kuwekwa Kijiji cha Msimbati 📌Wananchi Kijiji cha Songosongo kupatiwa umeme, Maji, Kivuko 📌Aagiza Vijiji vya Msimbati, Madimba na Songosongo kupata gawio la Ushuru wa pHuduma 📌Ataka TANESCO kuja na suluhisho la changamoto…