Category: MCHANGANYIKO
Siku bora katika Uislamu
Leo siku ya Jumanne tarehe 13 Julai, mwaka 2021, ni miongoni mwa siku kumi bora za Mwezi wa Dhil Hijja (Mfungo Tatu) Mwaka wa Kiislamu 1442 Hijiriyyah (toka Mtume Muhammad –Allaah Amrehemu na Ampe Amani – alipohajiri kutoka Makkah kwenda…
UDA-RT sikio la kufa
DAR ES SALAAM Na Waandishi Wetu Kinachoendelea ndani ya taasisi zinazohusika na Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam ni giza nene licha ya maagizo ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kutaka mabadiliko ya haraka ya mfumo wa…
Uchambuzi wa Bajeti Kuu kwa jicho la uwajibikaji
DAR ES SALAAM Na Ludovick Utouh UTANGULIZI: Juni 10, 2021, Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, aliwasilisha makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22. Hii ni Bajeti ya kwanza chini ya Mpango wa…
‘Madalali’ Dar wawaliza wafanyabiashara Kariakoo
*Wapora mamilioni ya fedha wakijidai madalali wa mahakama *Wafanyabiashara waomba msaada Msimbazi, wanyimwa Dar es Salaam Na Aziza Nangwa Baadhi ya wafanyabiashara wa Gerezani, Kariakoo, wamelalamika kuvamiwa na watu wanaojitambulisha kama madalali wa mahakama na kuwapora mali bila sababu za…
Furaha yatawala Soko la Chifu Kingalu
DAR ES SALAAM Na ALEX KAZENGA Vicheko na furaha vimetawala kwa wafanyabiashara wadogo wenye vibanda (vioski) katika Soko la Chifu Kingalu lililopo Manispaa ya Morogoro, baada ya kodi yao kupunguzwa. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Martine Shigella, ametangaza hayo hivi…
Mwisho wa Netanyahu kisiasa?
TEL AVIV, ISRAEL Mwamba wa kisiasa wa Israel umeanguka. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Benjamin Netanyahu kushindwa kutetea nafasi yake ya uwaziri mkuu nchini humo. Netanyahu amedumu katika nafasi hiyo kwa kipindi kirefu kiasi cha kuonekana kuwa kioo cha Serikali…