Category: MCHANGANYIKO
Uzalishaji maji washuka kutoka lita milioni 270 hadi lita 50 kwa saa
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam. Afisa Mtendaji wa Dawasa Mkama Bwire ameeleza kuwa upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani unategemea sana vyanzo vya mvua. Mkama ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na wahariri…
Manispaa Kibaha yamkabidhi baiskeli maalum mwanafunzi mwenye ulemavu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imeendeleza juhudi za kuimarisha elimu jumuishi kwa kumwezesha mwanafunzi mwenye ulemavu kupata baiskeli maalum, hatua inayolenga kumrahisishia safari ya masomo na kumsaidia kufikia ndoto zake za kielimu. Katika muendelezo wa…
Nchimbi: Taifa limepata pengo kuondokewa na Jenista Mhagama
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Taifa limepata pengo kuondokewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ambaye alikuwa kiongozi aliyeheshimika na kutumikia nchi katika majukumu mbalimbali…
Tanzania kunufaika na zaidi ya USD milioni 15 kutatua changamoto za mazingira
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kunufaika na ufadhili wa kiasi cha Dola za Marekani milioni 15,096,716 kupitia Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (United Nations Environment Program – UNEP), kuwezesha miradi ya kusaidia kuhimili athari za mabadiliko ya…





