JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kwanini TPA imeongoza kutoa gawio kwa miaka mitatu mfululizo

Maboresho ya miundombinu yaliyochangia ongezeko la Shehena ambapo kwa kipindi cha miezi kumi na moja kwa mwaka 204/2025 mizigo imeongezeka kwa asilimia 11, ambapo imehudumia tani mil 23.9 kulinganisha na tani mil 21.5 za miezi 11 ya mwaka 23/24. Uwekezaji…

Kikundi Kazi Kilimo TNBC chaja na maazimio kuboresha sekta ya Kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) kupitia Kikundi Kazi cha Kilimo limekuja na maazimio kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta hiyo hapa nchini sambamba na kuifanya sekta hiyo kuchangia uchumi wa Taifa ipasavyo. Akizungumza…

Rais Samia kupokea gawio la kihistoria leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, Jumanne, leo Juni 10, 20205 anatarajia kupokea gawio na michango mingine kutoka kwa taasisi za umma na kampuni ambazo serikali ina umiliki wa hisa chache, huku matumaini ya wataalamu…