Category: MCHANGANYIKO
EWURA : Uchakachuaji mafuta umepungua kwa asilimia 80
Na Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Magharibi Walter Christopher amesema uchakachuaji wa mafuta umepungua kutoka asilimia 80 hadi asilimia 4 mwaka 2022. Hayo ameyasema leo Alhamisi Mei 2,2024…
Waziri Mkuu awataka wakandarasi miradi ya umwagiliaji kuzingatia ubora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wakandarasi wazawa waliopewa dhamana ya ujenzi wa Miradi ya maji kuhakikisha waaitekelza kwa weledi na ubora wa hali ya Kuu. Majaliwa ameyasema hayo jana katika hafla ya utiaji saini mikataba…
Wafanyakazi Nishati katika kilele cha Mei Mosi Dodoma
Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wameshiriki maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei, 2024. Maandamano hayo yalianzia katika viwanja vya Bunge na kuhitimishwa katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Maadhimisho hayo maarufu kama Mei Mosi kwa…
Uturuki ni fursa miaka 60 ya Uhuru Tanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia Aprili 17 hadi 21, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, alifanya ziara rasmi ya kiserikali nchini Uturuki. Wiki iliyopita niliandika kuhusu ukubwa wa uchumi wa nchi ya Uturuki, mapinduzi makubwa…
Mndolwa : Miradi mingi ya umwagiliaji inatekelezwa kwa kipindi cha miezi 18
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa amesema miradi mingi ya umwagiliaji inatekelezwa kwa kipindi cha miezi 18, hivyo kukamilika kwa ujenzi na ukarabati wa skimu zinazoendelea kujengwa katika kipindi cha mwaka 2022/2023…





