Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 4, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia afungua barabara ya Kidatu – Ifaraka na daraja mto Ruaha Mkuu
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia afungua barabara ya Kidatu – Ifaraka na daraja mto Ruaha Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Daraja la Mto Ruaha Mkuu upande wa Kilosa kabla ya Ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 tarehe 4 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 tarehe 4 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria Ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 ,tarehe 4 Agosti, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Barabara mara baada ya hafla ya ufunguzi wa Barabara ya Kidatu-Ifakara yenye urefu wa kilomita 66.9 pamoja na na Daraja la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133, tarehe 4 Agosti, 2024.
a la Mto Ruaha Mkuu lenye urefu wa mita 133 ambalo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefungua, tarehe 4 Agosti, 2024.
ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kiwanda cha Sukari Kilombero (K4), tarehe 4 Agosti, 2024.
default
default
Post Views:
254
Previous Post
TRA yajuoanga kutoa elimu Nanenane
Next Post
Polisi walaani tukio la udhalilishaji
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
Habari mpya
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
Maria Sarungi ahusisha utekaji wake na ukosoaji wa Serikali ya Tanzania
Idadi ya waliofariki kwa moto wa nyika Marekani yafikia 24
Soma Gazeti la Jamhuri Januari 14, 2025
Rais Samia azungumza na Balozi wa Japan hapa nchini
Rais Samia akutana na Afisa Mtendaji Mkuu NMB
Rais Samia aipongeza Zanzibar Heroes
Mwanamuziki wa injili Rehema Simfukwe atoboa siri sababu kutunga wimbo wa Chanzo
Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi
Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha
Bilioni 5 kujenga soko la kimataifa Missenyi