Category: MCHANGANYIKO
Jukwaa Sekta ya Fedha 2024 lazinduliwa
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, amezindua Jukwaa la kwanza la Wadau wa Sekta ya Fedha kwa mwaka 2024 jijini Dar es Salaam, litakalotumiwa na wadau kujadili fursa na hatua mbalimbali za kuboresha Sekta ya Fedha. Fursa na hatua hizo ni…
DC Mgoni awaasa Watanzania kuendelea kudumisha amani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe MKUU wa wilaya ya Ileje, mkoani Songwe Farid Mgomi, amewaasa watanzania kuendelea kudumisha na kuimarisha amani, upendo, umoja na mshikamano ikiwa ni Tunu ya msingi wa Maendeleo katika Taifa la Tanzania lililoasisiwa na Hayati Mwalimu…




