JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kunenge apokea msaada wa ng’ombe 300, mbuzi 2,000 kwa ajili ya ibada ya Eid Al- Adha

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amepokea msaada wa ng’ombe 300 na mbuzi 2,000 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya IDDef ya nchini Uturuki, kwa ajili ya kuwawezesha waumini wa Kiislamu kushiriki ibada ya kuchinja katika…

Jela maisha kwa kosa la kulawiti mtoto wa miaka mitano

Hukumu imetolewa bila mshitakiwa kuwepo mahakamani *Mshitakiwa anatafutwa ili kutumika kifungo,baada ya kutokome kusikojulikana Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera, Rweyemamu Kashunja alimaarufu Baba P (35) dereva bodaboda mkazi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera,amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kutiwa…

Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Majeshi ya Polisi yaliyo katika nchi za Kusini mwa Afrika chini ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi (SARPCCO) kutumia teknolojia za kisasa na kubadilishana taarifa za…

Spika Tulia: Serikali itaendelea kupambana na changamoto ya mikopo kwa wanafunzi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, amesema Bunge litaendelea kuishauri na kuisimamia Serikali kushughulikia kwa haraka changamoto ya ucheleweshaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu,…

Serikali yahamasisha matumizi ya teknolojia kutunza mazingira

Na MJovina Massano Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa kwa wadau wote wa mazingira kuhamasisha matumizi ya teknolojia za urejelezaji wa taka kutunza mazingira. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati…

Ocean Road yaweka kambi viwanja vya Bunge, wabunge wajitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Taasisi ya Saratani Ocean Road, imeweka kambi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma na kutoa huduma za kibingwa na kibobezi za uchunguzi na tiba kwa wagonjwa wa saratani. Hatua hiyo imefikiwa ikiwa ni wiki ambayo…