JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

liyepooza miguu, kutimuliwa Bugando apona kwa mganga

Miezi michache baada ya baadhi ya madaktari na wauguzi wa Hospitali Teule ya Bugando kumtimua mgonjwa aliyeoza makalio akiwa wodini, kijana mwingine aliyepooza mwili kuanzia kiunoni hadi miguuni naye ameondolewa.

Msigwa ameshanasa kwa Nyalandu

Jambazi ni jambazi, fisadi ni fisadi, tapeli ni tapeli tu. Madhara ya

vitendo vya watu hawa kwa jamii ni yale yale bila kujali kuwa wanatoka

chama tawala au upinzani. Madhara ya vitendo hivi hayaangalii kuwa mtu

huyu anajifanya mchungaji, askofu au sheikh. Hayaangalii kwamba mtu

huyu anapenda kuuza sura kwenye runinga kiasi gani.

Vigogo wakwamisha vita ya ‘unga’ nchini

• Rais Kikwete asutwa kwa kutochukua hatua
• Kamishna ataka kujiuzia gari la Tume, anena
• Esther Bulaya avamiwa, asema wanalenga watoto

Vita dhidi ya dawa za kulevya nchini inazidi kuwa ngumu kutokana na viongozi wa juu wa nchi kukumbatia uozo, uchunguzi wa JAMHURI umebaini.
Uadilifu na uzalendo vimepotea na mfumo umesukwa kuwawezesha watendaji kufaidi biashara ya dawa za kulevya tofauti na hali ilivyokuwa wakati wa uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere, vyanzo vimethibitisha.

Lowassa vs Membe

 

*Wawili hawa hawagombei ubunge mwaka 2015

*Watano wajitokeza Monduli, Nape aenda Mtama

*Wamo Namelok Sokoine, Kadogoo, Porokwa

Wauza ‘Unga’, wateka nchi

• Majaji, viongozi wa kisiasa watumia sheria kulinda wauzaji
• Sendeka, Bulaya wataka ibadilishwe haraka, waeleza hatari
• Lema, Kiwelu, Nzowa wawaka, Azzan ataka wauzaji wanyongwe
• Watumiaji walia kubaguliwa, Lukuvi aahidi marekebisho

Vita dhidi ya dawa za kulevya nchini inazidi kuwa ngumu na kesi nyingi zinakwama mahakamani kutokana na mfumo mbovu wa kisheria unaotumika kuwalinda wasafirishaji na wauzaji wa dawa za kulevya, uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini.

Ripoti ya CAG

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni, imevuja.