Category: Siasa
Anguko CCM 2015 litamjenga JK
Kindumbwendumbwe cha uchaguzi kwa ajili ya kuwapata wenyeviti wa serikali za mitaa na wenyeviti wa vitongoji ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umemalizika hivi karibuni. Naam, kuna walioshinda na walioshindwa.
Bosi Shirika la Bima ajikosha
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Justine Mwandu, amejitokeza kufafanua shutuma za taasisi hiyo kuuza nyumba zake kwa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) na kukwepa wakazi wanaoishi humo.
Jiji wauza viwanja vya wazi Dar
*Tuhuma za Kabwe zafumua kashfa ya ‘kuuzwa’ bustani
*Ni ya Mtaa wa Samora, ujenzi wafanyika usiku bila kibali
Kashfa mpya Dawa za Kulevya
Kamishna aliyeteuliwa aanza ubadhirifu mali za Tume
*Waziri Lukuvi aapa kufa naye, Yambesi amvutia pumzi
Udini vyuo vikuu
*Serikali yapiga marufuku mitihani Ijumaa, J’mosi
*Wizara yatoa waraka maalumu, ni ushauri wa AG
*Profes Bana, Joseph Selasini waonyesha hofu zao
Kishindo IPTL
*Uongozi wa Bunge wahofia Pinda atajiuzulu
*Wakubwa wavuta milioni 100 hadi bilioni 8
*Jaji Werema, Tibaijuka wapumulia mashine
*Wafadhili wasitisha tirioni 1 hadi kieleweke
Serikali ya Awamu ya Nne chini ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete, kwa mara nyingine imekutana na mtihani mgumu ambako Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda yupo chini ya shinikizo la kujiuzulu kutokana na malipo ya karibu Sh bilioni 400 kwa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).