Category: Siasa
Al-Shaabab, Boko Haram waungana
KUNDI la kigaidi la Al-Shabaab la nchini Somalia ko kwenye wakati mgumu kama Boko Haram la Nigeria ambalo taarifa za kuuawa kwa kiongozi wake, Abubakar Shekau.
Kutokana na hali hiyo, taarifa zinasema kwamba kumekuwa na mawasiliano baina ya makundi ya kigaidi kuunganisha nguvu za pamoja ili kukabiliana na hali ya kuzidiwa na wapinzani wao katika harakati zao.
JK amchoka Nyalandu
*Atinga Marekani na msanii wa ‘Bongo Movie’
*Wabunge wamsubiri kumsulubu Novemba
*Safari, hoteli ghali zatafuna mamilioni ya shilingi
*Ofisi zake za wizarani ‘zakaribia kuota majani’
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ameanza kuchoshwa na vituko vya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, JAMHURI limethibitishiwa.
Wataalamu: Mtoto mpotevu Dar ana tatizo la kisaikolojia
Wanataaluma nchini wamesema kwamba wamefuatilia habari za kupotea na kupatikana kwa mtoto Happy Rioba (9), na kwa haraka wamegundua kwamba binti huyo ana tatizo la saikolojia tofauti na wengi wanaohusisha ushirikina.
Happy, anayeishi na mama yake, Sarah Zefania huko Mkuranga mkoani Pwani, aliripotiwa na vyombo vya habari kupotea na kupatikana zaidi ya mara moja, tukio lililovuta hisia za watu wengi.
Kwa mtego huu wa UKAWA hautamnasa Rais Kikwete
Tukio la hivi karibuni ambapo wajumbe wanaounda kundi la Umoja wa Katiba wa Wananchi (UKAWA) kuamua kuyakana makubaliano yaliyofikiwa baina yao na Rais Kikwete kupitia Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), haliwezi kupita bila kuhojiwa.
Mbowe moto
.Adai moto aliowasha hauzimiki mpaka kieleweke 2015
.Asema anaumizwa kuteketea mamilioni Bunge la Katiba
.Atamba ipo siku polisi watazitambua haki za Watanzania
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema anashangazwa na vigogo wa Jeshi la Polisi kufanya hila za kumkabili, ilhali wanaona namna Watanzania walivyodhulumiwa haki yao kupitia Bunge Maalum la Katiba.
Tanzania yaonywa kuhusu Al-Shabaab
POLISI wa Uganda wameitaka Tanzania kuwa makini na kundi la ugaidi la Al-Shabaab kutoka Somalia, baada ya jeshi hilo kuwakamata watu wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya kigaidi.
Tukio hilo limekuja siku chache baada ya Kenya kujihami kwa Polisi wao kumuua kwa risasi mtuhumiwa wa ugaidi katika maeneo ya Bondeni mjini Mombasa.