Category: Siasa
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
- Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi Njombe
- Baraza la Maaskofu Katoliki walaani tukio la uovu la kushambuliwa Padri Kitima
- Rais Samia apandisha viwango vya mishahara kwa asilimia 35.1
- Jiungeni na vifurushi vya NHIF- Rais Samia
- Rais Dk Samia akikabidhi vikombe kwa Manahodha wa Timu zilizofanya vizuri
Habari mpya
- Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi Njombe
- Baraza la Maaskofu Katoliki walaani tukio la uovu la kushambuliwa Padri Kitima
- Rais Samia apandisha viwango vya mishahara kwa asilimia 35.1
- Jiungeni na vifurushi vya NHIF- Rais Samia
- Rais Dk Samia akikabidhi vikombe kwa Manahodha wa Timu zilizofanya vizuri
- Rais Samia akitoa zawadi kwa wafanyakazi hodari katika sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi
- Matukio mbalimbali wakati Maadhimisho ya Siku wa Wafanyakazi Duniani
- Katibu Matinda aweka mkakati wa ujenzi wa nyumba ya Katibu Jumuiya ya Wazazi Tarime
- Serikali yaja na leseni mpya maalumu ya uzalishaji chumvi
- Waziri Bashe awapa mbinu ya kuondokana na umaskini wakulima wa korosho Kusini
- Mmoja akamatwa kwa kwa tuhuma za shambulio la Padri Kitima
- Mhandisi Luhemeja afungua mkutano wa AGN Zanzibar
- Sekta ya Madini imepiga hatua – Dk Kiruswa
- John Mrema atimuliwa uanachama CHADEMA
- Dk Biteko alitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli kuongeza kasi ya uendelezaji vitalu vya mafuta na gesi asilia
Copyright 2024