Category: Siasa
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
Sasa umefika wakati wa vitendo-Tibaijuka
[caption id="attachment_195" align="alignleft" width="160"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema kuanzia sasa inachofanya ni vitendo tu katika kukabiliana na wavunjifu wa sheria za ardhi, wakiwamo wavamizi wa maeneo yasiyoruhusiwa kujengwa.
Tibaijuka anguruma
[caption id="attachment_191" align="alignleft" width="189"]
Profesa Anna Tibaijuka[/caption]*Akomesha viji-zawadi vya wawekezaji
*Wananchi kumiliki hisa kwenye ardhi
*Kigamboni kujengwa kwa trilioni 16
HATIMAYE Serikali imeridhia kufanya mabadiliko makubwa kwenye umiliki wa ardhi kwa kuwabana wawekezaji wanaojitwalia ardhi kubwa kwa kutoa viji-zawadi vidogo vidogo kwa halmashauri, vijiji na wananchi.
Dozi ya Magufuli kwa viongozi wenzake
Suala la Dar es Salaam ni “very complex” na mimi nataka niwe muwazi na nataka nizungumze kwa ukweli. Ujenzi wa barabara za Dar es Salaam zina matatizo sana .
Habari mpya
- Baraza jipya la madiwani Bukoba laapishwa
- Utekelezaji mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo
- RC Ruvuma afungua maktaba ya mkoa
- Wakili Mpanju: Jamii iwalinde, kuwezesha wenye ulemavu
- Waziri Mavunde, Perseus wajadili maendeleo mradi wa Nyanzaga
- TFS yaungana na nchi sita kuboresha ufuatiliaji hewa ukaa kupitia miti iliyo nje ya misitu
- Dk Nchimbi : Tanzania imedhamiria kulinda afya, maisha ya watu
- Jumuiya ya Maridhiano na Amani yawaonya wanaoleta mpasuko kwenye jamii
- Wanawake wafundishwa kutengeneza mbolea
- Serikali yaihakikishia Jumuiya ya Wawekezaji kuwa Tanzania ni nchi tulivu
- Prof. Silayo aaga AFWC25, atoa wito wa mageuzi makubwa
- Polisi wabaini mbinu za wahalifu mtandaoni wakihamasisha maandamano yasiyo na kikomo
- Wazee mkoani Pwani waunga mkono hotuba ya Rais Samia
- DPP yaondoa mashtaka ya uhaini kwa Niffer, Chavala
- Rais Dkt. Samia akutana na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madola na Baraza la Uwekezaji Ikulu jijini Dar
Copyright 2024



